Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Draw za nini mkuu? We have to win these games ili tujiweke pazuri.


OX alimaanisha kuwa matokeo ya leo hizo team zimetoa sare... hakumaanisha kuwa tutadraw tukicheza nao..... hao wote watachezea kichapo....Dont worry kaka
 
Wakulu,

Arsenal leo wametoa taarifa kuonyesha lengo lao ni nini mwaka huu, ingawa bado kuna mtihani na Man City weekend ijayo.

Yao Gervinho leo amejaribiwa kucheza kama mshambuliaji na mtindo huo ukawasaidia sana na akaweza kufunga magoli.

Tuna mechi na Montpellier Jumanne na hii sioni kama ni tatizo.
 
Ahaa nimekusoma mkuu. Ujue tuna game na City alafu Chelsea zinafuatana nikadhani hivyo. Basi sawa Questt
 
Last edited by a moderator:





gervinho3_1584862a.jpg


AT THE DOUBLE ... Gervinho celebrates
his first of two goals for the Gunners


pod_600x338_1584826a.jpg

LUK AT ME ... Lukas Podolski
celebrates scoring Arsenal's second


gervinho_600x338_1584829a.jpg


THREE 'N EASY ... Gervinho slots in Arsenal's third


gervinho4_1584890a.jpg


GER-ONIMO ... Gervinho celebrates his second goal


walcott1_1584894a.jpg


WALC IN THE PARK ... Theo Walcott
reacts after scoring Arsenal's sixth

Hongereni all Gunners .... ..... ...... Next CL away to Montpellier .... .... ...
 
Mimi golini tu pale naona Woj. aendelee kukaa benchi.

Nakuunga mkono,leo mannone hakuwa happy kabisa pale bench.


Hakuna shaka Szczesny's ni kipa mzuri sana (lack of matches na fitness yake tu, ooops na ile banta ya kutofungwa ndio leo imeisha nasikia manyuu na chelsicki wanachekelea) vile vile Manone wote waendelee kubadilishana tu kuwe na upinzani kupata namba, hakuna biashara ya kulalalala. Kila sekta sasa hivi kuna mashindano makubwa hivyo utaona hata ushindi utakuwepo bila wasi wasi. Thats what we want when you play for the Gunners .... .... ...
 
Prof huwa ananifurahisha sana, gemu likianza huwa ndani ya suti, lakini kichapo kikianza anavua suti an piga jaketi.


Wacha unafiki wewe unafahamu jinsi msimu unavyokwenda? Kuna kipindi na wenyewe wanaita spring sijui tena winter na summer, chacha wewe unafikiri fasheni tu kama bongo wanavyopiga suti wakati ni joto la kukata na shoka.
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
nategemea zawadi yangu ya bday leo kutoka kwa gunners kwa ushindi mkubwa


Vijana walikusikia .... ..... hongera sana sasa mbona umekula keki peke yako?


itakuwa safi tukitoka na clean sheet ili haters wazidi kuumia

Bora clean sheet imeondoka leo kuliko kuipata kwa wapinzani wetu wa jadi, cha muhimu tusipoteza mechi.

ebana ingawa tunaongoza bao nne! jamaa walivyorudisha kimoja tu! hizo sms nilizotumiwa!! eti ohh! mshaanza kufungwa sasa! haters walikuwa wanasubiri wavu wa goners utikiswe tu! kumbe ile cleansheet ilikuwa ikiwauma sana

Na bado mwaka huu watakoma.

Tunatesa leo....Van who?

Judas Iskarioti aliwekwa kuwapooza mashabiki wa Manyu, mechi ijayo anakwenda kitandani moja kwa moja.

212449,xcitefun-fireworks-birthday.jpg



Happy Birthday Mkuu Oxlade-Chamberlain


BAK ungetuma na keki kabisa ukate mzizi wa fitna .... .... ...



May be,,,,,, But Sidhani kama the N'castle Mess can happen here......

Mkuu mechi ya New Castle Diaby alipigwa red kukawa na pengo pale, mwaka huu tunao tu hawa na kikosi kinaendelea kuimarika I mean Jack the lad, Rosicky na Diaby ni kama new signings ... .... .....


yaaaani nimelisubiri hili goli for more than a long Time..... hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa

It will come mate, its just a matter of time tena litakuja kwa timu kubwa sio hizi timu mbofu mbofu .... ....

Watu wanawapima arsenal kwa kutumia man city na man utd! wana tu underestimate sana!! tutakuja kuwashangaza tu!

Affirmative.
 
Vijana walikusikia .... ..... hongera sana sasa mbona umekula keki peke yako?




Bora clean sheet imeondoka leo kuliko kuipata kwa wapinzani wetu wa jadi, cha muhimu tusipoteza mechi.



Na bado mwaka huu watakoma.



Judas Iskarioti aliwekwa kuwapooza mashabiki wa Manyu, mechi ijayo anakwenda kitandani moja kwa moja.




BAK ungetuma na keki kabisa ukate mzizi wa fitna .... .... ...





Mkuu mechi ya New Castle Diaby alipigwa red kukawa na pengo pale, mwaka huu tunao tu hawa na kikosi kinaendelea kuimarika I mean Jack the lad, Rosicky na Diaby ni kama new signings ... .... .....




It will come mate, its just a matter of time tena litakuja kwa timu kubwa sio hizi timu mbofu mbofu .... ....



Affirmative.

pamoja kiongozi....
 
hatulalni na kelele zetu..angalau na sie tumeshinda, kama kawaida yetu..khe khe!!


Tetesi zinasema tayari wamemtayarishia Judas Iskariot kitanda na waganga njaa wa kumtibu baada ya CL mechi, chi-unajua Eqlpz tangu mlipopata kipigo na mkung'uto amebadili jina? Nitonye basi jina analotumia nimsanifu kidogo ... ... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2203784-15080BD1000005DC-417_634x408.jpg

Looking forward: Arsene Wenger is hoping
for good things this season
 
The Arsenal central midfield......


The starters >>>> Arteta, Diaby and Cazorla.
The under 21>>> Ox, Le Coq and Jack.

The Captains>> Arsha, Rosa and Ramsey.

Any of the top team will die to have three of those!!!!!.
 
Back
Top Bottom