Rejao hapa umeteleza...sie mashabiki tusha athirika kisaikojia kwa kweli...Coquellin akipata nafasi atafanya vizuri anajua dogo...the same question tulikuwa tunalisema wakati Almunia ni no. 1 akaumia Sczecny akachukua namba sasa hatutaki aondoke...hata game ya Stock watu walivyomuona Mannone golini wakaanza kuguna!
Oxlade chamberlain wakati ananuliwa kila mtu alishout vya nini vitoto? Sasa asipokuwepo bench tunasikitika
Kumbukeni mfumo wetu ni 4-3-3 ambao viungo watatu, wawili wanakaba na mmoja anacheza Free role i.e Santi Cazorla
Rejao unakumbuka mwanzoni mwa season 2007-2008 arsenal walimnunua Lass Diarra na tulilalamika kwanini AW anamweka Benchi Gilberto Silva na anampanga Flamini? Baadae huyo Gilberto tukamwona Flop
Makocha wanajua Arsenal sio kama City pale amenunuliwa Maicon na kuna Zabaleta na Richards mpaka unaona kocha anasajiri kwa Woga
hata jana Spurz wamemsajiri Hugo Lrois na wanae Brad Frieder,carlo cudicini na Huberto Gomez
Mi naamini pale kati patazibwa na hatutaamini maana akina Frimpong na Wilshere watarudi soon