Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnammiss RVP? Angekuepo mngekuta mmeshinda 1-0 alafu mnamsagia hata aibu hamna... Angalau saivi yuko utd atakua anapumzika hachezi kila game...mnashindwa kumfunga sunderland nyumbani? Nyie mwaka huu kazi mnayo coz hata mwaka jana isingekua magoli ya RVP mngemaliza wa saba au nane kwenye ligi... Alafu mnasema no player is bigger than the club what?
 

We nawe unaongea pumba :biggrin1: wenger anataka players wawe wanalipwa hela sawa.. Ili wasilalamike.. Why? Kuna wachezaji mbuzi arsenal wangeuzwa kusanya hela mnaleta gd players.. Tatizo arsenal sio bodi ni wenger amechoka ki akili na ki mwili hata legends wa arsenal wanasema hiyo.. Ideas zake hazifanyi kazi tena.. Fergie nachompendea ni mzee lkn anajua kubadilisha mfumo kutokana na jinsi maisha yanavobadilika wenger hawezi. Ninawaonea huruma my gooners friends mwaka huu kazi mnayo.. I would b so worried if i were you.
 

Kama unasoma posts zangu utajua nilisema kua man u are the most profitable club in the world na sio tu coz of 75000 fans wanaoingia old trafford every wk bt shirt sales worldwide sponsors ka DHL na wengineo.. Bt winning trophies helps alot wenger hajashinda kombe since 2005 alafu bado mna over price match tickets why?
 

Hivi why did podolski move to arsenal wakati every player wants out? Next year itakua walcott hawezi sign a new contract pale arsenal
 

Wanasema eti hela inalipia deni la emirates...
 
mtotowamjini hivi umeangalia match ..??? mbona kelele hivo tumefungwa ngapi..? match ngapi RVP anakuwepo na tunatoa draw .. mlipotufunga 8 RVP.. SONG walikuwa hawapo kwani..? punguza pumba broda kwenye thread yetu! Arsenal hatotoshinda kila game msimu huu.. draw ni part of the game...
 
Sijaona tofauti ya Olivier Giroud na Maruane Chamakh,hasa ma-striker wakija premier league sijui kwa nini wanachemsha.Cazorla ni mchezaji mzuri sana ,kuondoka kwa RVP sio pengo kuliko kuondoka kwa Song ,nashangaa kwa nini Mr. Bean kamuachia kirahisi hivyo.Ngoja tusubiri wacheza Rugby(Stoke)
 
I see........

Haya bana......
 
Belo uko serious?......

Yaani unampima Giroud na mechi moja ya jana tena na Sunderland ambao siku zote game yao ni kudefend kiasi cha kumfananisha na Chamakh?........

Song kalilia mwenyewe kwenda Barca na board ya Arsenal kwa jinsi ilivyo na uchu wa fedha ikaamua kumuuza kwa pauni milioni 15......

Huwa najiuliza ni kwa nini watu wanaifuatilia/izungumzia sana Arsenal kiasi hata cha kusahau mechi za timu zao wanazoshabikia na badala yake wanaangalia mechi zinazofuata za Arsenal na kuangalia nini rsenal watafanya katika mechi hizo?......Yaani ukiangalia humu JF thread ya Arsenal ndo inaongoza kwa kuwa na page na post nyingi(kuna page karibu 1040 na post zaidi ya 21000) ilhali thread za vilabu nyingine zinasuasua.......Inashangaza kweli.....
 
Ya Ngoswe.........................................
 
Hivi why did podolski move to arsenal wakati every player wants out? Next year itakua walcott hawezi sign a new contract pale arsenal
Ooooh boy!.........Give us a break.......

Ni kwa nini kila kitu cha Arsenal unakiona kibaya?.....Hivi ni lazima upost ama kuquote post yoyote inayozungumzia Arsenal.....Ni kwa nini usiutumie muda wako wa thamani kwenda kwenye Jukwaa la Man Utd na kujadili mechi yenu ya kesho na Everton ama kujadili mambo yanayohusiana na klabu yenu?....Maana inafika kipindi mpaka unaboa yaani,wewe kila wakati na Arsenal tu......Unakera......
 
I think the game had more positives than negatives. The defence worked hard. Miedfield did a good job also. More sharpness in the attack and we are good. That will come eventually as the season unfolds. COYG
Dah, mkuu tatizo la timu yetu hii ni yale yale ya "the operation was successful but the patient died" tunacheza vizuri sana lakini tunaishia ubutu tu. Kama itaendelea hivi basi hakutakuwa na jipya zaidi ya ambayo yamekuwa yakitutokea baada ya 2004. All in all, I wish Wenger would be out and sucked!
 
Naomba niwakumbushe wakuu sunderland ndo walikuwa wa kwanza kuwatungua man £ity msimu uliopita!
 

Wenger alisema u need to win majority of ur home games against lesser teams if u want to win the league or b competitive.. Sasa drawin against s'land na wengine wa chini kama last year alafu ukija kucheza na man u au man city bado mnafungwa top 4 mtaiona kweli?
 

:biggrin1: nawaongelea nyie kwa sababu namiss nyie kua watani wetu wakuu.. Man city ndio our main rivals bt i miss ile mshike mshike kati ya wenger na fergie
 

:biggrin1: nashukuru umesema wewe, ningesema mimi ningefukuzwa humu ndani.
 
Jamani ingawa bado ni mapema lakini ukweli huwa haupingiki
Dunia ya leo ili ufanyevizuri kwa maana ya kuchukua ubingwa ni lazima uwe na world class player
Mwaka jana angalau van magoli na song walikuwa msingi na sasa hawapo, tunaweza kuwa tumesajili wazuri lakini not enough
Huitaji akili ya ziada kujua mahasimu wetu man u,man city na chelsea vile wamesajili

Hapa ninachokiona ni the same old story, timeinacheza vizuri lakini haipati vikombe
 



Jirani hongera kwa pointi na kumpata Carzola.
Watu hupenda kuja hapa kwa sababu washabiki wa Arsenal (wengi wao, si wote) wanachonga sana. Hivyo ni natural process kwamba wanavutia wapinzani kuja kuwapa stick kila inapotokea nafasi, ni swala tu la ushindani (rivalry), nothing more.
 
:biggrin1: nashukuru umesema wewe, ningesema mimi ningefukuzwa humu ndani.

unaboa kwa kujifanya u much know broda...sunderland ni timu ngumu nilipata hofu ya umakini wako uliponambia Hukumjua Arteta mpaka alipokuja Gunners "eti alikuwa bench warmer St.goodson park" alafu ukasahau nani alikuwa top perfomer Euro 2008 baada ya David Villa? Kama si Arshavin nani mwingine? Yaani Unazi unazi tu kwenye ukweli husifii we kukashifu timu za wengine Kuna Ulazima wa MAONI YAKO HAPA? Kama Arsenal si kitu mbona ukiingia JF break ya kwanza hapa?
 
Kama RvP angefunga nafasi zote alizopata msimu uliopita angekua na goal 55. He missed 25 clearcut chances. Do you remember that one against United at home? Against Norwich at home? Yeah. So sioni sababu ya kusema Giroud ni mbovu wakati ni mechi yake ya kwanza EPL. Kila striker anakosa magoli.

But if you want to judge by 1 game. Then Fulham and Swansea ARE TITLE CONTENDERS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…