Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu inacheza vizuri...Ramsey na Walcot hawako fresh, Song naye katepeta!
 
Timu inacheza vizuri...Ramsey na Walcot hawako fresh, Song naye katepeta!

so far song kwa nafasi yako bado yuko poa ila hawa watu wawili.. ramsey anapoozesha mipira na hayuko makini vya kutosha,walcot nae ni kichomi tu leo hakuna cha maana sana anachokifanya na babu nae sub zake ndo zile mpaka dk70
 
AW sijui kwa nini anamuacha humo ndani Walcott... Hii game kabanwa saana...
 
leo kila mtu kituko.. song.. sagna.. chemberlin... walcot... gervinho... rosisky .. game chini ya kiwango
 
Ohhhh United wamefungwa na wigan na nyinyi leo imekuwaje tena??acheni kuongea wakuuu
 
Ohhhh United wamefungwa na wigan na nyinyi leo imekuwaje tena??acheni kuongea wakuuu

naona mmerudi mlisubiri kwa hamu hii siku... nenda kwa jirani zako darajani. "chelsick" waambie tutamaliza hasira kwao....
 
ARTETA .... jamani.. Ramsey kashindwa ku cover lile pengo....
 
Back
Top Bottom