Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijui kwanini babu anampenda hivi huyu mtoto..
Ramsey ni nahodha wa timu ya Taifa ya Wales,nadhani unakumbuka alivyojitetea kutoa Chamberlain kwenye game ya Manu na kumuingiza nahodha wa Russia
 
What if we take One game at a time.....

yeh u have a point but dont u think rotation ni muhimu! sansana kwa mtach ambazo we are on the winning side .. babu kajifunza kutoka kwa wilshere ...
 
Kama tukikamua mechi 3 kati ya hizi 5 hakika 3rd spot is guaranteed.COYG.
 
Sijui tungemfukuza Wenger kama wakina PEASANT walivyoshauri, sijui ingekuaje? Wakuu mnaona matunda ya kumuamini kocha wenu?!
 
nimekuja kuwahi parking.... inakuwaje wakuu limebaki saa moja!
 
Arsenal squad vs Wigan

Arsenal - Szczesny, Sagna, Vermaelen, Djourou, Santos, Song, Arteta, Rosicky, Benayoun, Walcott, Van Persie

Rosicky in for Ramsey the only change
 
Hawa wigan leo tunawalegeza pamoja na ugumu wao!van magoli ana goli za mbili usiku huu!djourou awe makini kwani jamaa wana mastriker force!one two mikodombwe wako langoni...
 
Referee: Andre Marriner

Hawa nao wanaharibu sana games..... May be atafanya maamuzi sahihi....
 
Mtu anapoteza mpira kisha anasimama... Nice counter by WIGAN and stupid defending from US!!!
 
Things are tight and serious... Is a minute difference.... 2-0...
 
Kipa involved in both goals...
Wenger alifanya makosa kumsifia
 
Back
Top Bottom