Kwa jinsi ndoa za zama hizi zilivyo na seke seke.
Nashauri familia zifate mfumo wa zamani. Kijana wa kiume anapofikia wakati wa kuoa, familia imchagulie mwenza wa kumuoa.
Hivyo hivyo kwa binti.
Familia ziwe makini na kukataa ndoa ambazo familia ya mume na mke mtarajiwa hazijawai kujuana vizuri toka zamani.
Huu mfumo wahindi na waarabu wanautumia mpaka leo na ndoa zao zina amani kuliko zetu waswahili ambazo tunachaguana wenyewe.
Ndoa za kusema kupendana wenyewe ni ndoa mbovu sana. Tuachane nazo
Nashauri familia zifate mfumo wa zamani. Kijana wa kiume anapofikia wakati wa kuoa, familia imchagulie mwenza wa kumuoa.
Hivyo hivyo kwa binti.
Familia ziwe makini na kukataa ndoa ambazo familia ya mume na mke mtarajiwa hazijawai kujuana vizuri toka zamani.
Huu mfumo wahindi na waarabu wanautumia mpaka leo na ndoa zao zina amani kuliko zetu waswahili ambazo tunachaguana wenyewe.
Ndoa za kusema kupendana wenyewe ni ndoa mbovu sana. Tuachane nazo