Ariel Sharon is dead!

Ariel Sharon is dead!

Status
Not open for further replies.
Adhabu + mateso hapapa dunia..ya huko Mungu ndio anajua..shenzi yake huyu!
 
Apumzishwe panapostahili Myahudi huyu.Amewaacha Wapalestina wakidai nchi yako kutoka kwenye mikono ya madhalimu wa kiyahudi.
 
Hii ni moja ya comment iliyonichekesha kutoka mtandao flani.



"JIMMY KURKUS, FROM STOCKHOLM, EMAILS

My only sorrow is why he has never been prosecuted because of killing thousands of innocent human beings"
 
I think it would be no exaggeration to say that every Palestinian would regard him as a butcher, a man with lakes of blood on his hands
 
Aliua watu wengi sana na hata kwa mikono yake mwenyewe hasa kule kwenye makambi ya wakimbizi wa kipalestina ya shatila,walikwenda wakachinja mamia ya wamama na watoto wasio na hatia.
 
image3400.jpg
 
As a defence minister 1982 sharon oversaw the Lebanon war before he was forced to resign from office 1983 as a result of the Sabra and shatilla massacre for which the kahn commission of inguiry found him responsible.
Up to 3500 palestine refugee were killed in those camps.
 
Waziri wa zamani wa Israeli kafa leo. Anakumbukwa kwa kuanzisha kikosi cha ma-komandoo nchini Isreli. Alipatwa na shinikzo la moyo (stroke) 2006, na akawa amelazwa hospialini tangu kipindi hicho akisaidiwa na mashini.

Source: BBC
 

Attachments

  • sharon.jpg
    sharon.jpg
    44.2 KB · Views: 63
R.I.P Sharon....umeicha Israel ikitengwa na dunia taratibu kwa kibri ya PM wake wa sasa.

Kule hatuna Balozi, kwa hiyo hatupeleki ujumbe wa kuomboleza kwenye mazishi ya Sharon? watu wa diplomasia mnasemaje?
Lazima Vasco aende...hii ni golden chance
 
Hivo huyu kafa mara ngapi? He died long time ago
 
Jamaa lilikuwa na misimamo mbaya. Acha apumzike tu, ni kama alishakufa 8 years ago.
 
Mkuu wetu ataenda kwenye...??? 😉
 
Back by then arround 20,000 refugee lived in the shatilla camp that was supposed to receive international protection.
Israel soldier led by sharon and chief of staff Rafael Etan made sure their soldier were surrounding the refugee camp,isolate it from its surrounding and allowed the phalanges to go in and murder thousands of innocent refugee.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom