Ariel Sharon is dead!

Ariel Sharon is dead!

Status
Not open for further replies.
View attachment 131674
Baada ya kukaa ICU in comma state kwa miaka takriban saba mbabe huyu wa wapalestina ameaga dunia leo baada ya hali ya mwili wake kudhoofu toka wiki iliyopita
Source: BBC News
Huku duniani alikuwa MBABE wa waPalestina huko anako kwenda ataendelea kuwa MBABE wa hao wapalestina alio wafanyanyia huo UBABE? Sidhani huko kuna MBABE wa WABABE asie na mfano asie muogopa kiumbe yeyote yule.
 
Alikuwa kwenye coma tangu 2006 baada ya kupata kiharusi (stroke). Anachukuliwa kama jemedari katika medani za siasa na kivita kwao Israel, akiwa ameshiriki na kuongoza(kama kamanda) vita 4 za taifa hilo dhidi ya mataifa ya kiarabu. Kabla ya kuwa waziri mkuu kuanzia 2001, aliwahi kuwa waziri wa ulinzi kabla ya kuachia kutokana na kashfa ya mauaji ya maelfu ya wa palestina katika kambi za wakimbizi nchini lebanon. Kabla ya kushiriki siasa, alikuwa afisa wa jeshi la ulinzi la israel akifikia cheo cha meja jenerali.
 
Ameteseka muda mrefu sana,nilishaanza kumsahau RIP Shalon
 
R.I.P Sharon....umeicha Israel ikitengwa na dunia taratibu kwa kibri ya PM wake wa sasa.

Kule hatuna Balozi, kwa hiyo hatupeleki ujumbe wa kuomboleza kwenye mazishi ya Sharon? watu wa diplomasia mnasemaje?
 
yaa jenerali wa kiyahudi amemalizika kabisa baada ya kumalizika nusu kwa miaka mingi
 
Namkumbuka kama waziri mkuu aliyeshughulika kuwaua Wapalestina akiwepo Shk Yasin na sumu kwa Yasser Arafat.Mungu amsamehe
 
Ni kweli aisee.
Ariel Sharon, former Israeli PM, dies at 85 - World - CBC News
[h=1]Ariel Sharon, former Israeli PM, dies at 85[/h][h=3]Israeli Army radio reported death citing family member[/h]Thomson Reuters Posted: Jan 11, 2014 7:36 AM ET Last Updated: Jan 11, 2014 7:40 AM ET
ariel-sharon.jpg
Former Israeli Prime Minister Ariel Sharon gestures at the end of his Likud Party's women conference in Tel Aviv in this March 10, 2005 file photo. (Reuters)
 
Apumzike kwa amani lakini alikuwa ameshafariki siku nyingi
 
Ni kweli aisee.
Ariel Sharon, former Israeli PM, dies at 85 - World - CBC News
Ariel Sharon, former Israeli PM, dies at 85

Israeli Army radio reported death citing family member

Thomson Reuters Posted: Jan 11, 2014 7:36 AM ET Last Updated: Jan 11, 2014 7:40 AM ET
ariel-sharon.jpg
Former Israeli Prime Minister Ariel Sharon gestures at the end of his Likud Party's women conference in Tel Aviv in this March 10, 2005 file photo. (Reuters)
Pumzika kamanda!
 
Huku duniani alikuwa MBABE wa waPalestina huko anako kwenda ataendelea kuwa MBABE wa hao wapalestina alio wafanyanyia huo UBABE? Sidhani huko kuna MBABE wa WABABE asie na mfano asie muogopa kiumbe yeyote yule.

Kama kweli kuna hukumu na moto huko jehanamu huyu jamaa haponi moto huo hata kidogo, binafsi naombea mungu aongezee kuni kwa ajili ya kumbanika yeye tu, daah huyu mtu alikuwa katili bwana mi ni mkristo bt kwa hili la kuua wapalestina kama kuku sidhani kama Mungu alikuwa na maana hio kwa hilo taifa teule, huyu bwana anatofauti gani na magaidi yanayotumia dini ya kiislam na kuua watu lukuki eti kwa kisingizio cha jihad or Allah sijui. Mungu hawezi kuwa gaidi bwana, hawa watu ni wabaya wakafilie mbali huko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom