Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 6,121
- 6,062
He died long time ago
Acha "UKANDAMIZAJI" kwenye 'sensitive issues!'
He died long time ago
R.I.P Sharon....umeicha Israel ikitengwa na dunia taratibu kwa kibri ya PM wake wa sasa.
Kule hatuna Balozi, kwa hiyo hatupeleki ujumbe wa kuomboleza kwenye mazishi ya Sharon? watu wa diplomasia mnasemaje?
Let him go to Hell.
Mungu aiweke roho yake sehemu panapostahili alishakufa muda mrefu toka 2006 huyu muuaji.
ukumbuke yeye ndo aliamua kuendesha ile disegagement plan,kuondoa askari wake huko gaza na westbank hasa baada ya kuona casualties zinazidi kwa upande wao pamoja na gharama za kuyakalia maeneo hayo.nategemea kusikia chochote behind his death frm conspiracy theorist
Yaani namuoombea kwa mungu akachomwe dhalimu mkubwa aliyeshiriki kuwadhumu na kuwauwa ndugu zetu wa kipalestina bado na huyo benjamin netanyau moto uwe ndio makazi yao laanatullah
Let him do
Asipone!!!???Kama kweli kuna hukumu na moto huko jehanamu huyu jamaa haponi moto huo hata kidogo, binafsi naombea mungu aongezee kuni kwa ajili ya kumbanika yeye tu, daah huyu mtu alikuwa katili bwana mi ni mkristo bt kwa hili la kuua wapalestina kama kuku sidhani kama Mungu alikuwa na maana hio kwa hilo taifa teule, huyu bwana anatofauti gani na magaidi yanayotumia dini ya kiislam na kuua watu lukuki eti kwa kisingizio cha jihad or Allah sijui. Mungu hawezi kuwa gaidi bwana, hawa watu ni wabaya wakafilie mbali huko.
Kitukuu cha mtume utakijua tu! Hiyo lugha ni utambulisho tosha.
Anyway, Rest in Peace, the descendant of Abraham, and Isaac, and James (Israel), and David (the King of Israel). Rest in Peace the former Commander-in-Chief of the Nation of God. Amen.
go to the hell pig.![]()
baada ya kukaa icu in comma state kwa miaka takriban saba mbabe huyu wa wapalestina ameaga dunia leo baada ya hali ya mwili wake kudhoofu toka wiki iliyopita
source: Bbc news
mkuu umekumbuka zile sabuni za unga za Ariel?