Sure!regardless one's status.Death is the great equalizer
Aliyekuwa waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 85.
Afya yake imeanza kuzorota tangu mwaka 2006, akiwa katika madaraka ya uwaziri mkuu wa Israel. Miaka minane tangu kuwa mgonjwa.
View attachment 131700
Israel ipo sababu marekani ipo.wapi hitler
Lazima Vasco aende...hii ni golden chance
Una uhakika huyu ni moja kwa moja motoni??????kwa huyu hakuna panapostahili ni motoni moja kwa moja
Mkuu wetu ataenda kwenye...??? 😉
Hapo pigia mstari yuko kwenye maandalizi yakuondoka.