Kwa mujibu wa ukurasa wa fb wa Bbc Swahili, wametoa taarifa ya kifo cha bwana Sharon. My take hakika huyu ndie Legend wa dunia kwani ameweza kulinda nchi iliyobarikiwa thdi ya maadui wa wayahudi,R.I.P
Watu weweeeeeeeeeeeeee leo bonge moja la siku,hili li guruwe limekufa safi sana...sasaivi anachezea mboko tu huku alipo
Kafiri yeyote anapenda Dunia !
![]()
Baada ya kukaa ICU in comma state kwa miaka takriban saba mbabe huyu wa wapalestina ameaga dunia leo baada ya hali ya mwili wake kudhoofu toka wiki iliyopita
Source: BBC News
:israel: Meet you in heaven Sharon :A S crown-1:
rip sharon!
Kama kweli kuna hukumu na moto huko jehanamu huyu jamaa haponi moto huo hata kidogo, binafsi naombea mungu aongezee kuni kwa ajili ya kumbanika yeye tu, daah huyu mtu alikuwa katili bwana mi ni mkristo bt kwa hili la kuua wapalestina kama kuku sidhani kama Mungu alikuwa na maana hio kwa hilo taifa teule, huyu bwana anatofauti gani na magaidi yanayotumia dini ya kiislam na kuua watu lukuki eti kwa kisingizio cha jihad or Allah sijui. Mungu hawezi kuwa gaidi bwana, hawa watu ni wabaya wakafilie mbali huko.