Ariel Sharon is dead!

Ariel Sharon is dead!

Status
Not open for further replies.
R.I.P General Sharon...your selfless commitment to the state of Israel is second to none. Your service to your country and before God is righteous. Rest assured that your reward is in heaven.
 
Rot In Hell (RIH) Ariel Sharon.
https://m.facebook.com/photo.php?fb...308085990731:mf_story_key.-547302469181803274
THIS DOG ARIEL SHARON SAID THIS IN AN INTERVIEW IN 1956 ABOUT OUR [PALESTINIAN] BROTHERS & SISTERS [IN ISLAM];
“I don’t know something called International Principles. I vow that I’ll burn every Palestinian child (that) will be born in this area. The Palestinian woman and child is more dangerous than the man, because the Palestinian child’s existence infers that generations will go on, but the man causes limited danger. I vow that if I was just an Israeli civilian and I met a Palestinian I would burn him and I would make him suffer before killing him..."
 
Sharon Mungu kakuadhibu katika duniani miaka 8 kwa udhalimu wako uliotenda ikiwa ni pamoja na kuingia katika nyumba ya Mungu kwa dharau matokeo yake uliparalyze. Mungu akulipe unachostahili.
 
Atimae kapumzika baada ya kuugua kwa muda mrefu!

Jamaa alikua na msimamo kwelikweli!
 
Sharon Mungu kakuadhibu katika duniani miaka 8 kwa udhalimu wako uliotenda ikiwa ni pamoja na kuingia katika nyumba ya Mungu kwa dharau matokeo yake uliparalyze. Mungu akulipe unachostahili.
kampendeza mungu kwa kuiweka Jerusalem mikononi mwa wayahudi. wewe unachuki kwa muisrael hata yule aliye mwema kwako. si shangai ukilopoka maneno hayo.
 
Mungu amlaze mahala pema peponi, shujaa huyu na kiboko cha waarabu.
 
kampendeza mungu kwa kuiweka Jerusalem mikononi mwa wayahudi. wewe unachuki kwa muisrael hata yule aliye mwema kwako. si shangai ukilopoka maneno hayo.
jerusalem ni mji tu kama ulivyo korogwe au karagwe.

Ndo kusema mungu alishindwa kuutwaa mpaka sharon amsaidie?
 
Actually tuna balozi Mohammed Hamza. Ni balozi wa Misri na Israel pia. Kajitambulisha kwa Sharon juzi tu.
 
Laana Tullah Sharon,,M/Mungu akuweke sehem inayostahiki ila naomba Jahannamu yawe makazi yako ya kudumu.
 
I don't think that most of us use the brain we have to THINK, who are we to JUDGE?????? Tumekuwa MIUNGU???? Do we know exactly wapi yutakwenda baada ya maisha yetu hapa duniani???? ARE WE THAT PERFECT? ?? then jpili, jmosi na ijumaa tunakwenda kuomba Mungu???? Kweli????????? Usihukumu, kwa sababu kiwango unachotumia kuhukumu kitakurudia mara dufu!!!!! KAMA HUNA CHA KU-COMMENT, SOMA ACHA. R.I.P SHARON!

mbona unajichanganya.we mbona umehukumu?
 
Sharon Mungu kakuadhibu katika duniani miaka 8 kwa udhalimu wako uliotenda ikiwa ni pamoja na kuingia katika nyumba ya Mungu kwa dharau matokeo yake uliparalyze. Mungu akulipe unachostahili.

Hakika mwenyezimungu ni mkali wa kuadhibu.comma miaka nane!!!!.jews wanaugopa sana ule mskiti
 
kampendeza mungu kwa kuiweka Jerusalem mikononi mwa wayahudi. wewe unachuki kwa muisrael hata yule aliye mwema kwako. si shangai ukilopoka maneno hayo.

Akili yako haina nafasi ya kufikiria ubinadamu wewe ni ubaguzi tu.
 
Rot In Hell (RIH) Ariel Sharon.
https://m.facebook.com/photo.php?fb...308085990731:mf_story_key.-547302469181803274
THIS DOG ARIEL SHARON SAID THIS IN AN INTERVIEW IN 1956 ABOUT OUR [PALESTINIAN] BROTHERS & SISTERS [IN ISLAM];
"I don't know something called International Principles. I vow that I'll burn every Palestinian child (that) will be born in this area. The Palestinian woman and child is more dangerous than the man, because the Palestinian child's existence infers that generations will go on, but the man causes limited danger. I vow that if I was just an Israeli civilian and I met a Palestinian I would burn him and I would make him suffer before killing him..."
Hii nukuu inajulikana ni uwong.
cf. https://en.wikipedia.org/wiki/Alleged_Ouze_Merham_interview_of_Ariel_Sharon (halafu usililie wikipedia lakini ulete chanzo chenyewe - inaonekana hadi ssa haipo)

Yaani Sharon hakusaidia kuleta amani huko Palestina na Israeli sijakubaliana naye. Hata hivyo sioni akili kumkashifu kwa nukuu za uwongo.
 
:israel: Sharon :israel: is in a better and secure place than Sadam, Gadaffu, Osama et al, to wit.

Umemaliza ?

Rest in hell SHARON THE PIG....

Haha wakiristo inawauma....

Hii mijitu mnayojipendekeza kwao inawachukia kupita kiasi ...
Lakini hamuachi kujipendekeza kwao...



 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom