Moyo wangu ulinilipuka baada ya kumuona Mary Nagu akitetea uuzwaji wa ekari 80,000 + 200,000 za watanganyika wa Mpanda kwa wamerekani. Kwa kifupi inaonekana kama deal imeshakuwa accomplished. Sina uhakika kama mtoto wa mkulima alihusika au hafahamu au alibariki uuzwaji huu. Wamepata kibali cha kumiliki eneo hilo kwa miaka 99 na kila mwaka watalipia sh. 700 (mia saba tu) kwa ekari kwa mwaka. Issue ni kwamba, je watoto wetu watakaozaliwa ndani ya hii miaka 99 wataishi wapi? watalima wapi? watawekeza wapi? Is it true kwamba hakuna watanzania wenye shida ya ardhi ya kulima (wawekezaji wa ndani)?
Wana JF naomba tuijadili hii mada kwa kina.
Wana JF naomba tuijadili hii mada kwa kina.