Ardhi Mwanza haishikiki!

Ardhi Mwanza haishikiki!

Ardhi ni raslimali pekee Inayopanda thamani kila siku. Chukua, baada ya muda utashangaa hata hapo nyamadoke hutanunua. Watu wananunua viwanja kwa fujo, changamkia fursa bado mapema.
 
Mbona umepata bahati sana....kwa sababu Nyamadoke ni jirani kabisa na makao makuu ya wilaya ya Ilemela.
Kuna mpango wa kuboresha miundo mbinu kuanzia Igoma,Nyamongholo,Nyamadoke mpaka Buswelu wilayani....pia kuunganisha na Igombe na Kayenze!
Nunua haraka na hutajutia.
 
Mbona umepata bahati sana....kwa sababu Nyamadoke ni jirani kabisa na makao makuu ya wilaya ya Ilemela.
Kuna mpango wa kuboresha miundo mbinu kuanzia Igoma,Nyamongholo,Nyamadoke mpaka Buswelu wilayani....pia kuunganisha na Igombe na Kayenze!
Nunua haraka na hutajutia.

Kisesa haipiooo?
 
Wakuu kwa wale wenyeji wa mwanza mtanielewa, nilbahatika kupata kazi mwanza na sina muda mrefu sana lakin leo nimeshangaa kwan niliongea na mtu mmoja wa buswelu ili anitafutie ka kiwanja nami nijenge angalau ili niepukane na upangaji cha ajabu nimeenda kuonyeshwa kiwanja sehem moja inaitwa nyamadoke karibu na nyamhongoro ambacho upana ni hatua 26 na urefu ni 30 ambapo kwa kujenga nyumba ya kawaida kinatosha lakin kichekesho ni kwenye bei naambiwa milion 1 na nusu hakuna maji wala umeme pia hakujapimwa, kwa kwel sikuamin macho yangu ikabid niulize tena nikaambiwa vle vle, nimechanganyikiwa mpaka sasa najiuliza sijui nichukue au niache na kama hali ndiyo hii sijui baada ya miaka 3 hali itakuwaje mwanza kwa upande wa ardhi???
Nlinunua kiwanja Buswelu kwa 10 mil vimeshikana viwili kama bado unataka vipo vingine jirani 2 kila kimoja kinataka 5 to 4.5 mil
 
Wakuu kwa wale wenyeji wa mwanza mtanielewa, nilbahatika kupata kazi mwanza na sina muda mrefu sana lakin leo nimeshangaa kwan niliongea na mtu mmoja wa buswelu ili anitafutie ka kiwanja nami nijenge angalau ili niepukane na upangaji cha ajabu nimeenda kuonyeshwa kiwanja sehem moja inaitwa nyamadoke karibu na nyamhongoro ambacho upana ni hatua 26 na urefu ni 30 ambapo kwa kujenga nyumba ya kawaida kinatosha lakin kichekesho ni kwenye bei naambiwa milion 1 na nusu hakuna maji wala umeme pia hakujapimwa, kwa kwel sikuamin macho yangu ikabid niulize tena nikaambiwa vle vle, nimechanganyikiwa mpaka sasa najiuliza sijui nichukue au niache na kama hali ndiyo hii sijui baada ya miaka 3 hali itakuwaje mwanza kwa upande wa ardhi???
Bei ya mil 1 Buswelu ni bei ya kutupa chukua haraka kabla mwenye nacho hajashtuka. Nauza changu mahina 790sqm 10 mil njoo nikupe kina miamba2 so hununui kokoto wala mawe ya kujengea
 
Mkuu hiyo bei ndogo sana. Embu nenda Arusha/Moshi km 25 adi 30 kutoka city center unauziwa Miguu 10x15 kwa 3M na wala hakuna mwenye kujali na bado havipatikani watu wanachukua vyote.
 
Bei ya mil 1 buswelu ni bei ya kutupa chukua haraka kabla mwenye nacho hajashtuka. Nauza changu mahina 790sqm 10 mil njoo nikupe kina miamba2 so hununui kokoto wala mawe ya kujengea
Mahina sehemu gani?
 
Back
Top Bottom