Superbug JF-Expert Member Jan 31, 2018 12,405 30,908 Apr 8, 2019 #3 Kwann huyu askofu makarius ni maarufu sana ? Nyerere kamtaja sana
Elungata JF-Expert Member Jan 28, 2011 40,205 33,222 Apr 8, 2019 #4 huyu makarios kama sikosei alikua kiongozi wa sypus,ila sikumbuki ni cypuris ipi(spelling)
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,597 215,268 Apr 9, 2019 Thread starter #5 Elungata said: huyu makarios kama sikosei alikua kiongozi wa sypus,ila sikumbuki ni cypuris ipi(spelling) Click to expand... Ndiyo mkuu alikuwa Askofu mwanasiasa na rais wa kwanza wa Cyprus. Katika utawala wake alipona najaribio manne ya kuuwawa.
Elungata said: huyu makarios kama sikosei alikua kiongozi wa sypus,ila sikumbuki ni cypuris ipi(spelling) Click to expand... Ndiyo mkuu alikuwa Askofu mwanasiasa na rais wa kwanza wa Cyprus. Katika utawala wake alipona najaribio manne ya kuuwawa.
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Apr 13, 2019 #6 Sky Eclat said: Ndiyo mkuu alikuwa Askofu mwanasiasa na rais wa kwanza wa Cyprus. Katika utawala wake alipona najaribio manne ya kuuwawa. Click to expand... Wauwaji walikuwa wanatumia bunduki au manati?
Sky Eclat said: Ndiyo mkuu alikuwa Askofu mwanasiasa na rais wa kwanza wa Cyprus. Katika utawala wake alipona najaribio manne ya kuuwawa. Click to expand... Wauwaji walikuwa wanatumia bunduki au manati?