Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Hakika. Na mapambano yalikuwa makubwa sana kuliko watu walivyokuwa wanaona. Tumshukuru Mungu tumefika hapa kwa amani. Lowasa na genge lake si watu kabisa. Ni zaidi ya wanyama. Tena huyu Apson ndo kabisaaaa!
Tunashukuru nchi iko katika mikono salama. Kama tungeangukia kwenye mikono ya wale majambazi sijui hali ingekuwa mpaka sasa!