Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,553
- 7,608
Ndio wajiuze kupitia details za mteja wao? Hao ni washenzi na wadhalilishaji..!!Aisee nimesoma nikashangaa sana. Tatizo pia wakopaji usipokuwa mnoko hawalipi.
Ndio wajiuze kupitia details za mteja wao? Hao ni washenzi na wadhalilishaji..!!Aisee nimesoma nikashangaa sana. Tatizo pia wakopaji usipokuwa mnoko hawalipi.
Mkuu shida yao,siyo wa kweli,kwenye regulation zao wanasema mengine na kwenye utekelezaji wanafanya vingine,wanaweza kukuambia wanakupa 50 na riba wanakata mapema sana 10, na utarejesha baada ya siku 30,Kwa ulimwengu tuliopo sasa, ni vigumu kwa mtu/jamaa kukukopesha hela kirahisi, ndipo umuhimu wa hizi apps, microfinances, banks zinakuwa na umuhimu.
Kwa mazingira hayo, tatizo si wao, tatizo liko kwako; umechukua cha watu, warudishie ndani ya muda mlio kubaliana.
Vinginevyo, hao unao waomba wakusaidie kuwafungia hao, ndio ulitakiwa uwafuate mwanzoni ili wakukopeshe.
Kweli kabisa, halafu ukiwaauliza kwanini ni kinyume na kilichoandikwa mwanzo wanatukana tu.Mkuu shida yao,siyo wa kweli,kwenye regulation zao wanasema mengine na kwenye utekelezaji wanafanya vingine,wanaweza kukuambia wanakupa 50 na riba wanakata mapema sana 10, na utarejesha baada ya siku 30,
-badala ya 40 wanakupa 30, IDADI unayodaiwa inabaki 50kamili,na muda wa kurejesha unakuwa siku SITA TU,badala ya siku 30.
HII NDIYO SHIDA YAOI KUBWA.-UTAPELI TU.
Hii ndiyo shida yao kubwa hawa jamaa.Kweli kabisa, halafu ukiwaauliza kwanini ni kinyume na kilichoandikwa mwanzo wanatukana tu.