carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Yaani hata nashindwa kusema ni king'amuz gan😂😂😂😂 sio Zuku?
Yaani hata nashindwa kusema ni king'amuz gan😂😂😂😂 sio Zuku?
JamaniContinental
Kwa madongo haya naona anne anaomba poo huko aliko😂😂😂😂😂 Teja ndio anairudisha ila mtu wa kawaida anapiga simu ya dharula kuita wajeda waje kutegua bomu
🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mbona unatuonyesha kava?😁😁
Mkokaa kasema tubaki kwenye 120k maana alinunua ikiwa mpya😂😂😂😂😂😂 basi nabaki pale kwako kwenye 50k
Wakishua bhana acha kumchoma roho stella basiMimi mwaka mmoja naweza kutumia simu nne jamani
Unawekaje simu akiba?kwani hela hiyo sema itazaa😂😂😂
Kwamba nakusingizia sio?Hahah! Habari za uzushi hizi 😀
Acha dharau chizi wewe
😂😂😂😂😂😂betri imeshikiliwa na plastaIvue hilo gauni lake tuione ikiwa tupu, utakuta hata mfuniko haina 😀😀
Kwamba kuna kitu na wewe utataka kutoka kwake ama?🏃🏃🏃Hahah! Uniombe nikupe tu
Kwamba hiyo picha ni mimi tu imenipita?😂😂😂😂😂
Kwanini umenyoa?
Simu sio muhimu sana
Hebu tuone kama kweliEndelea kusubiri
Kwanza jana nimeenda saluni kinyozi anisawazishe vizuri.matokeo Yake amekwangua nywele zote nimebaki kama mzimu huku kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
App ina ugumu gani?App ngumu ngumu sana
Sababu unatafuta ukiwa na helaYaan mimi simu nikiichoka huwa naitafutia kila aina ya sababu niache kuitumia



Yaani amenidongoa huyu chizi JanaKwa madongo haya naona anne anaomba poo huko aliko![]()







AiseeeMkokaa kasema tubaki kwenye 120k maana alinunua ikiwa mpya








Wakishua bhana acha kumchoma roho stella basi
Mwenzio simu yake anachukulia kozi ya miaka 3 ujue![]()







