And this is what i was telling
Kiranga
Sijawahi kununua simu kwa sababu ya camera.
Sina hobby ya kupiga picha kwa simu, na nikitaka kupiga picha natumia Sony a6300.
Tumeongelea vitu vingine, hatujaongelea camera.
Vitu viwili vikubwa ambavyo vinanifanya nisinunue simu ya Apple ni.
1. Kutokuwa na removable batteries.
2. Kutokuwa na SD card slot.
Kutokuwa au kuwa na hivyo viwili kunakuwaje suala la quality ya specification?
How is that equal to less or more megapixels?
Viwili vyote hivi ni sehemu ya idea kubwa ya closed systems.
Katika computer systems closed systems ni systems za lusers, power users always wanataka kuwa na open systems wanazoweza kuzi customize, tinkering around etc.
Sasa mimi najihesabu power user, naweza kukaa na rafiki zangu wa SETI (Search for Extra Terrestrial Intelligence) wakasema tunataka kuongeza processing power ya Aracebo dishes kwa ku borrow cycles kwenye simu zenu, kuna ki chip tunataka kuweka. Nikiwa na open system nitafungua na kuweka, nikiwa na closed aystem nitawekaje?
Ukisoma biography ya Steve Jobs (au kuangalia movie iliyokuwa based kwenye hiyo biography) na kujua sababu zilizomfanya aifanye Apple iwe closed system unnecessarily utaona how insulting the entire idea is.