Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hope hayuko seriousSeriously??
Hope hayuko seriousSeriously??
Wengine naona wanapenda kuandika ili nao waonekane wanajuaHope hayuko serious
Tafuta hata iphone 6.. ina front camera ya 1.2 Mp. Bt kwa quality ya pcha hata tecno phantom z mini yenye front camera 8 Mp haifikiihyo iphone yenye 1.2 .. tumia utaona utofaut.Betri kimeo, halafu 2nd camera ile ya selfie ya kiboya bora nikanunue Tecno c8
Tumia iphone halaf utaona.... kwa hyo 1.2Mp yao hata wale wenye front camera ya 8mp hawamfikii kwa quality ya pcha... tumia utaonaSeriously??
kupungukiwa kwa ubunifu lazima urudi ukopi vya nyuma
And this is what i was telling KirangaTafuta hata iphone 6.. ina front camera ya 1.2 Mp. Bt kwa quality ya pcha hata tecno phantom z mini yenye front camera 8 Mp haifikiihyo iphone yenye 1.2 .. tumia utaona utofaut.
Tatizo ni specifications za juu au tatizo ni quality?Na sio tu ubunifu mkuu,pia cku hizi kuna masimu mengi yenye specifications za juu sana kuliko iphones na ambazo bei zake ni cheap ukilinganisha na iphones. Tatizo jamaa walijiona keki sana, na nafikiri ndio wameanza kushtuka now kutoka usingizini baada ya kuona wenzao wanafanya vizuri sokoni ndio maana wametuletea haka kacheap mobile phone.
Unangoja ishuke bei??I am waiting for the Samsung S7
Mim sijawaelewa kwanin wameamua kuleta hiyo version kama ya iPhone 5s
Hiyo battery ni upumbavu kabisa, wameshindwa kuimprove hapo??
Mbona ishatoka hiyo iOS 9.3Mimi binafsi nasubiri hio update ya iOS 9.3 yenye night regime
Mimi binafsi nasubiri hio update ya iOS 9.3 yenye night regime
Miaka yote ww bado kigoli tu?Nokia chaliiiii
Aiseee embu weka hizo realityUkija kwenye reality hio lg5 imezidiwa na i phone4.
Ila wewe si unataka removable?