Apple v/s Dell Computers

Hebu iangalie vizuri kisha uniambie wanajaribu kuimitate laptop za kambpuni gani, angalia hapo kwenye touchpad, apple bado wanalead mkuu..wengine wanafuatia, angalia hata simu zao walivyoanza kutengeneza iPhone kila kampuni naona inaiga designs hizohizo, SHAME!

mkuu ushaskia kampuni inaitwa lenovo? ushaskia kampuni inaitwa asus? hawa ndo walioanzisha hybrid laptop, convertible vitu viavyochomoka chomoka na kubinuka. hii ndo future tunayoenda na soon apple ataanza kuifata. touchpad na keyboard hizo zinatoka sku hizi kuna touchcover. kina asus ndo wana hybrid ya touchpad na mouse hapo hapo.

kuhusu huko iphone kuigwa wala usiongee maana nkileta ile kesi ya nokia utaumbuka
 
Wabongo kwa mbwembwe mmeshindikana. Duuuuuuh! Makampuni makubwa ya USA,, CANADA na nchi nyingine wanatumia dell, hp, acer kwenye shughuli zao wewe wa dar es salaam unaziita MAKOPO. LOL. Tatizo letu sisi nchi za dunia ya tatu ni tunafuata upepo tuuuu. Leo hii GERMANY na nchi nyingine zilizoendelea kuna watu wengi wanatumia Windows 2000 ila kibongo bongo mtu kanunua laptop lake used kariakoo (hajawahi hata kutumia computer) anatumia windows 7 hata xp hajui inamwonekano gani. Hebu angalia ni stage ngapi kavuka. Waulize wazungu stage walizopitia hadi wakaanza kutumia ATM then fikiria stage tulizopitia TANZANIA (tumekurupukia tuu) ndo maana zinatusumbua. Wazungu wanatubebesha vitu ambavyo hatujawa tayari kuwa navyo.
umenikumbusha dogo mmoja aliyekuwa na shauku ya kutaka kujifunza adobe after effect....nikamshauri kiroho safi aanze na CS3,dogo akaona kama namzingua.akalazimisha nimpatie CS6.....siku mbili baadae anakuja oooh broo nielekeze ku-create new composition kunafanyikaje?!.
 
Wabongo kwa mbwembwe mmeshindikana. Duuuuuuh! Makampuni makubwa ya USA,, CANADA na nchi nyingine wanatumia dell, hp, acer kwenye shughuli zao wewe wa dar es salaam unaziita MAKOPO. LOL. Tatizo letu sisi nchi za dunia ya tatu ni tunafuata upepo tuuuu. Leo hii GERMANY na nchi nyingine zilizoendelea kuna watu wengi wanatumia Windows 2000 ila kibongo bongo mtu kanunua laptop lake used kariakoo (hajawahi hata kutumia computer) anatumia windows 7 hata xp hajui inamwonekano gani. Hebu angalia ni stage ngapi kavuka. Waulize wazungu stage walizopitia hadi wakaanza kutumia ATM then fikiria stage tulizopitia TANZANIA (tumekurupukia tuu) ndo maana zinatusumbua. Wazungu wanatubebesha vitu ambavyo hatujawa tayari kuwa navyo.

Natofautiana na wewe kidogo kuhusus stages za tekinilojia tunazopswa kupitia ili kuwa sawa na wenzetu. Ni vema tukawa sawa na walipo wenzetu ili kwenda na wakati. Kapa program iliyopo sasa ni window 7 na mtu anataka kununua kompyuta ni heri akanunua iliyo na window 7 kwa kuwa ndio program wa wakati huu. Vipi leo hii mtu akitaka kununua hari na kwa kuwa hajawahi kuwa na gari basi aanzie lile lililokuwa linatumia mvuke? Hakuna kukurupuka hapa ni heri kuendana na wakati na teknolojia iliyopo tu hata kama kuna umuhimu wa kuruka vingine. Kumbuka sisi ni watumiaji ti hatutengenezi.
 
Kuna kampuni inaitwa "Aerospace Electronics Systems" wao kuna department wanatumia windows 3.1
 
I disagree mkuu.

Nahisi hapo umekosea umelinganisha products vibaya, zipo dell expensive na ziko very slim!! Angalia dell convertible utakimbia na zina bei kubwa Mac, haioni ndani!! Tafuta dell xps mkuu hata tablet ya dell ndo nyembamba Zaidi kuliko ya apple!!,! Usibabaishwe na laptop za Kkoo za Laki tano ukadhani ndo expensive laptops za dell, mizigo ya maana ipo sema waaangalia pia wateja!
 
Natofautiana na wewe kidogo kuhusus stages za tekinilojia tunazopswa kupitia ili kuwa sawa na wenzetu. Ni vema tukawa sawa na walipo wenzetu ili kwenda na wakati. Kapa program iliyopo sasa ni window 7 na mtu anataka kununua kompyuta ni heri akanunua iliyo na window 7 kwa kuwa ndio program wa wakati huu. Vipi leo hii mtu akitaka kununua hari na kwa kuwa hajawahi kuwa na gari basi aanzie lile lililokuwa linatumia mvuke? Hakuna kukurupuka hapa ni heri kuendana na wakati na teknolojia iliyopo tu hata kama kuna umuhimu wa kuruka vingine. Kumbuka sisi ni watumiaji ti hatutengenezi.
Very well said
 
kama mtu hujawai kutumia Dell Alienware au Dell Xps (desktop au laptop) unaruhusiwa kuendelea kupiga kelele
 
Nahisi hapo umekosea umelinganisha products vibaya, zipo dell expensive na ziko very slim!! Angalia dell convertible utakimbia na zina bei kubwa Mac, haioni ndani!! Tafuta dell xps mkuu hata tablet ya dell ndo nyembamba Zaidi kuliko ya apple!!,! Usibabaishwe na laptop za Kkoo za Laki tano ukadhani ndo expensive laptops za dell, mizigo ya maana ipo sema waaangalia pia wateja!

Soma vizuri post uliyoiquote mkuu. nadhani hukuielewa.

Copy of the post:

hahahhaa, you caught me on that one! All in all, apple are better machines bro, agree?
I disagree mkuu.
 
Wakati huo huo bongo gari jipya ni jina tuu na limetoka kama miaka mitano iliyopita.
Anyway, tunaongelea mambo ya PC, lakini siwezi kuacha hii pumba ipite hivihivi. Bongo watu wana magari mapya ya model za mwaka huu huu. Hizi VX unazoziona zina namba binafsi humu nchini unadhani ni za akina nani? Na hizo Range Rover model za kisasa ni za nani? Ongea kwa facts. Leo hii VW new model kutoka pale CFAO Motors Vingunguti zimejazana barabarani, zipo njiani kibao sana, sijajua unaongelea bongo ya mwaka gani ndugu. Unaishi Kasulu?
 
Mkuu Young Master mimi Ni fan wa MAC na ukianza kutumia mac hutaacha utaona windows ni uchafu

Nimeshawahi kutumia Mac mkuu both iMac and Macbook kasoro Mac pro ndio sijawahi kuigusa. The reason why siipendi Mac ni kwa sababu software nyingi especially games zinasupport Windows ndo maana naipenda zaidi Windows kuliko Mac. But kama watafanya jitihada ili software nyingi especially games zisupport Mac then hata mimi nitaanza kutumia Mac. Kuniambia nitumie Mac instead of windows ni sawa na kuniambia nitumie Windows phone, BB OS or iOS instead of Android maana android ndio smartphone OS pekee inayosupport Apps nyingi na games lakini pia ni rahisi kutumia.
 
Nimeshawahi kutumia Mac mkuu both iMac and Macbook kasoro Mac pro ndio sijawahi kuigusa. The reason why siipendi Mac ni kwa sababu software nyingi especially games zinasupport Windows ndo maana naipenda zaidi Windows kuliko Mac. But kama watafanya jitihada ili software nyingi especially games zisupport Mac then hata mimi nitaanza kutumia Mac. Kuniambia nitumie Mac instead of windows ni sawa na kuniambia nitumie Windows phone, BB OS or iOS instead of Android maana android ndio smartphone OS pekee inayosupport Apps nyingi na games lakini pia ni rahisi kutumia.

nashangaa sana mtu anahangaika ku jailbreak when he can just get an Android!! Feel sorry kwa wa2 wa IOS
 
nashangaa sana mtu anahangaika ku jailbreak when he can just get an Android!! Feel sorry kwa wa2 wa IOS

Jailbreak inaua betri za iPhone. Wataalam wa kujail break wanakwambia ukijail braik iPhone hakikisha huzimi simu yako laa sivyo everytime utapokuwa unazima simu yako ndivyo jinsi unavyozidi kuiua betri yako.
 
Back
Top Bottom