Apple Iphone 12 is finally here

Huawei haiwezi kufa , Waliona hilo la marekani kabla ndio maana wakawa na OS yao na hivi sasa wanajizatiti upande wa Semiconductors huenda baadae wasinunue tena Chipset kwa TSMC.

Mi nasubiri tar 22 watoe dude lao Mate 40 liwakimbize kama kawaida

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Unaongea kirahisi kama unatengeneza juisi za azam.

Huawei mwakani anakufa kifo cha mende.

Ni sawa na uwaambie Boeing wanaotengeneza ndege na vifaa vyote ndani ya ndege watengeneze wao.

Hata apple hatengenezi kila kitu kwake ni OS na Chip Set, vingine anaagiza.
 
Niliagizwa kioo cha Samsung s8+ nikahisi alieniagiza atadhani nimempiga kumbe ndo bei zake wakati kioo cha iPhone 7 nilinunua kwa elfu 60 tu. Ila hapo kwenye uimara apple nimewakubali niku-update tu ngoma inajipa siku zinasonga
sasa mkuu hujioni kama ulipigwa na Apple? wakati simu mpya ulipigwa milioni na upuuzi kuinunua, na kwenye simu expensive part ni kioo, kama kioo cha simu ya milioni ni elfu sitini, thamani nzima ya simu itakuwa kiasi gani? hii logic ndio maaana pia Apple inapata faida sana kuliko kampuni nyingi duniani japo mapato si makubwa.
 
Huawei haiwezi kufa , Waliona hilo la marekani kabla ndio maana wakawa na OS yao na hivi sasa wanajizatiti upande wa Semiconductors huenda baadae wasinunue tena Chipset kwa TSMC.

Mi nasubiri tar 22 watoe dude lao Mate 40 liwakimbize kama kawaida

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
mfano mzuri hio mate 40 inakuja na cortex A77, ina maana Huawei ameshindwa kupata Cortex A78 ama cortex X1 zitakazokuja kwenye Samsung na simu Nyengine za Snapdragon, ameshindwa kupata sababu Arm ni mshirika wa marekani.

hata Huawei akiwa na Os yake na kiwanda cha semi conductor, bila tech ya arm atatengeneza nini?

jeneza la Huawei lilifungwa pale Nvidia aliponunua Arm toka kwa softbank. sasa hivi watatumia stock yao ya soc zikiisha hawatengenezi tena simu, na si maneno yangu haya

Huawei: Smartphone chips running out under US sanctions
 
mfano mzuri hio mate 40 inakuja na cortex A77, ina maana Huawei ameshindwa kupata Cortex A78 ama cortex X1 zitakazokuja kwenye Samsung na simu Nyengine za Snapdragon, ameshindwa kupata sababu Arm ni mshirika wa marekani.

hata Huawei akiwa na Os yake na kiwanda cha semi conductor, bila tech ya arm atatengeneza nini?

jeneza la Huawei lilifungwa pale Nvidia aliponunua Arm toka kwa softbank. sasa hivi watatumia stock yao ya soc zikiisha hawatengenezi tena simu, na si maneno yangu haya

Huawei: Smartphone chips running out under US sanctions
Ni kweli kabisa ulichoongea ila hao wachina watakuwa chimbo kwa muda kisha watarudi tena wakiwa wanajielewa.
 
Badilisha kiswahili sio wanaopenda kuhangaika na simu bali wanaopenda kuwa huru kutumia simu watakavyo na wawezavyo huku wakizifurahia
Hata wanaotumia I phone pia wanapenda kutumia kama watakavyo kwa jinsi zilivyo. Tatizo mnataa kila kitu kiwe kama android which is impossible!
 
IMG_0121.jpg
 
Baada ya kuangalia unboxing ya baadhi ya reviewers;

1. Iphone 12 imefanya vizuri kwenye design.

2. Kutoweka power brick ni ujinga mwingine apple wamefanya.

3. Magsafe ni gimmick, ile sumaku haina nguvu ya kuhold simu. Labda uweke kwenye Chi.

4. Watu watanunua kwasababu ya boxy design. Ila sio kwamba ni kitu cha ajabu sana.
 
Baada ya kuangalia unboxing ya baadhi ya reviewers;

1. Iphone 12 imefanya vizuri kwenye design.

2. Kutoweka power brick ni ujinga mwingine apple wamefanya.

3. Magsafe ni gimmick, ile sumaku haina nguvu ya kuhold simu. Labda uweke kwenye Chi.

4. Watu watanunua kwasababu ya boxy design. Ila sio kwamba ni kitu cha ajabu sana.

Magsafe ina hold kwenye iphone 12 tu, zingine haiwezi kuhold
 
Magsafe ina hold kwenye iphone 12 tu, zingine haiwezi kuhold

hata kwenye 12 haihold.

sababu kama ingewekwa sumaku kubwa zaidi ingekuwa kero kwa mtumiaji wakati wa kuitoa.huyu anamaanisha simu kuweza kuning'inia isianguke kama utashikilia waya peke yake.
 
hata kwenye 12 haihold.

sababu kama ingewekwa sumaku kubwa zaidi ingekuwa kero kwa mtumiaji wakati wa kuitoa.huyu anamaanisha simu kuweza kuning'inia isianguke kama utashikilia waya peke yake.

Mzee kumbe unasemea kuhold kama sumaku na chuma
 
Baada ya kuangalia unboxing ya baadhi ya reviewers;

1. Iphone 12 imefanya vizuri kwenye design.

2. Kutoweka power brick ni ujinga mwingine apple wamefanya.

3. Magsafe ni gimmick, ile sumaku haina nguvu ya kuhold simu. Labda uweke kwenye Chi.

4. Watu watanunua kwasababu ya boxy design. Ila sio kwamba ni kitu cha ajabu sana.

Kama kushindwa kushikilia cm ndo u gimmick wenyewe basi itakuwa gimmick . Lakini kazi ya magsafe siyo hiyo hata ukienda web ya Apple Hamna kitu kama hicho. Ile siyo holder mkuu ni charger
 
note kitu kimoja tu Apple inc wamerun out of innovation....CEO wa Apple wa sasa sio business + marketin intelligence.....kuna maswali aliyowahi ulizwa kwenye interview flan...yan alijibu very weak mpaka akawa ananasa kwenye mitego ya yale maswali.....tech biz kwa miaka ya hivi karibuni inaendeshwa zaidi kwa kuavoid scandal + kupuuza reviews za customers na wakifeli hapo kifo chao kipo karibu....watajikuta wanawaachia market share Xiaomi na samsung
Kinachowafanya waendelee kuwa juu ni brand loyalty. Sijaona kampuni nyingine yenye wateja loyal kama Apple...nadhani kama blackberry angedumu mpk leo ndio angeweza mpa shida stahili tunda
 
Baada ya kuangalia unboxing ya baadhi ya reviewers;

1. Iphone 12 imefanya vizuri kwenye design.

2. Kutoweka power brick ni ujinga mwingine apple wamefanya.

3. Magsafe ni gimmick, ile sumaku haina nguvu ya kuhold simu. Labda uweke kwenye Chi.

4. Watu watanunua kwasababu ya boxy design. Ila sio kwamba ni kitu cha ajabu sana.
Kuirudisha hiyo design ndo kitu cha maana zaidi wamefanya....vingine it's just Apple being Apple
 
Back
Top Bottom