nimeshadownoad luck patcher nifanyeje ssNilifanikisha kuhack coins…
Kwa ambae bado hajaweza afanye kudownload LUCKY PATCHER (latest version), then aniquote nimupe maelezo hapa hapa
Tayar ,,nimeshadownload latest twende KazNilifanikisha kuhack coins…
Kwa ambae bado hajaweza afanye kudownload LUCKY PATCHER (latest version), then aniquote nimupe maelezo hapa hapa
weka vitu hapaNilifanikisha kuhack coins…
Kwa ambae bado hajaweza afanye kudownload LUCKY PATCHER (latest version), then aniquote nimupe maelezo hapa hapa
weka vitu hapa
Tayar ,,nimeshadownload latest twende Kaz
nimeshadownoad luck patcher nifanyeje ss
Asante chiefobb file eka foldrr la android then obb, hakikisha obb file folder like linaanzia na com
la mpira? kuna real football, fifa na pes. ila kwa gameplay games za psp ni nzuri kama una pad download ppsspp na rom ya pes ucheze game lenye uhalisia
lina apk yake wameimod kwanini usieke hio kila kitu unlimited.Kuna game linaitwa Modern Combat 5 (mc5) yaani hili nimeshindwa kupata coin kabisaaaaaa, nimetumia lucky patcher and game guardian lakini wapi, kuna aina ingine tena
Asante ngoja tujaribNimejaribu kusummarize maelezo kwa kiasi chake.
Utapokwama niambie
s̸a̸m̸a̸h̸a̸n̸i̸ m̸k̸u̸u̸ h̸e̸b̸u̸ i̸t̸u̸m̸e̸ i̸l̸e̸ p̸i̸c̸h̸a̸ y̸a̸ k̸u̸w̸e̸k̸a̸ t̸i̸k̸i̸ m̸a̸a̸n̸a̸ h̸u̸k̸u̸ h̸a̸i̸j̸a̸f̸u̸f̸u̸n̸g̸u̸k̸a̸
1.Anza kwa kudownload lucky patcher
2.Then ifungue app ya lucky patcher na utafute Dream league ilipo
3.Fungua sehemu ilivyoandikwa hivyo
4.Bonyeza sehemu iliyoandikwa Create Apk kama nilivyomark
5.Bonyeza sehemu iliyonyoandikwa hivyo
6.Bonyeza rebuild up na uiache iprocess kama kwa dakika 2 nzima
Ikimashamaliza itakuletea option ya kuinistall/unstall game
Fanya hivyo
Likisha install rudi nyuma kawaida na ufungue App ya DLS kawaida.
Likishafunguka na ukasajili captain wako bonyeza pale kwenye COINS
Ukishabonyeza kwenye COINS itakuletea hiyo option na weka TICK kama nilivofanya hapa
n̸i̸m̸e̸f̸a̸n̸i̸k̸i̸w̸a̸ m̸k̸u̸u̸Weka TICK kwenye Auto repeat purchase
cheza multiplayer mkuu naon 00 tu hapo fanya kujarbu na hyo
Mkuu mbona kwangu inazingua? Au nisiwe online nn?Weka TICK kwenye Auto repeat purchase