massimu jr
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 542
- 595
nmechukua ubingwa bila kufungwa ata game moja
Fika tier 1 bila kufungwa utakuwa kiboko lakini sio hii,hiki ni kirekodi uchwaranmechukua ubingwa bila kufungwa ata game mojaView attachment 728416











Mkuu unacheza na marobot cheza live online ukutane na binadamu wenzako uone hutabaki kama ulivyonmechukua ubingwa bila kufungwa ata game mojaView attachment 728416

mkuu online wanakimbia kabla ya dk 90 hata raha siioniMkuu unacheza na marobot cheza live online ukutane na binadamu wenzako uone hutabaki kama ulivyo![]()
![]()
![]()
![]()
Unashida gani wewe unatakiwa upiganie tier ya ngapi?mkuu online wanakimbia kabla ya dk 90 hata raha siioni
oyaaaTupo
mkuu ukiwafunga tatu wanakimbia, nipo tier ya nneUnashida gani wewe unatakiwa upiganie tier ya ngapi?
Ukifika TIER 1 NISHTUEmkuu ukiwafunga tatu wanakimbia, nipo tier ya nne



Hivi kucheza online bando linakula sanaaa? Au kawaida tumkuu ukiwafunga tatu wanakimbia, nipo tier ya nne
Tengeneza na kwako mkuu ila kuna hili pia..Naona mnacheza na VIKATUNIhalina uhalisia ,MTU katengeneza MOD yake anawaaminisha ni FTS18
Poor
Ngoma away hiyo sasa ukija machinjioni c ndio utakula hamsaMimi napenda wakomavu na wabishi kama hawa yani unapigwa 9 upo tu co ww umepigwa mbili unascip gameView attachment 733283