Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,297
Ili uone utam zaidi hakikisha top score anatoka kwako top assist atoke kwakoWapo ila wengi wana 5 3 4 1
Ball possession uongoze pia
Ili uone utam zaidi hakikisha top score anatoka kwako top assist atoke kwakoWapo ila wengi wana 5 3 4 1
Nina wasiwasi na gemu level yako mkuu....
Jaribu kwenda sehemu network inapokamata sana....Kila nikidownload linanizingua linaandika problem sasa je nitatumia njia gan ambayo naweza download hii game
Nimefanikiwa mkuuJaribu kwenda sehemu network inapokamata sana....
Ntakuwekea screenshot asubuhi!!!


nimeweka ngumu ila nawakimbiza tu au kadri ninavocheza na ugumu unaongezekaSema unabutua sana piga pasi 80% uone utamu wa game
Sema unabutua sana piga pasi 80% uone utamu wa game



morning kibosho1Morning 2umorning kibosho1
Hamna ka umeweka level high halafu unawakimbiza utawakimbiza tu hivyohivyo milele...Nimefanikiwa mkuunimeweka ngumu ila nawakimbiza tu au kadri ninavocheza na ugumu unaongezeka
Hamna ka umeweka level high halafu unawakimbiza utawakimbiza tu hivyohivyo milele...

Hili FTS18 ni game zuri kushinda DLS18. Tatizo limenichosha, lina matches nyingi sana
Ndo tamu sasaHili FTS18 ni game zuri kushinda DLS18. Tatizo limenichosha, lina matches nyingi sana
Halafu zile job offer zinanirudhisha nyuma kila muda. Najikuta siendi mbele. Kuna tatizo nisipoziaccept? Na nifanyeje ili kumanage Team kubwa?Ndo tamu sasa
Hakuna mkuu"""nyingine unaweza kurejectHalafu zile job offer zinanirudhisha nyuma kila muda. Najikuta siendi mbele. Kuna tatizo nisipoziaccept? Na nifanyeje ili kumanage Team kubwa?
Mi ilikuja offer ya asenali....nikaona ipo ya 13 kwenye ligi nikareject....Hakuna mkuu"""nyingine unaweza kureject
Mi ilikuja offer ya asenali....nikaona ipo ya 13 kwenye ligi nikareject....




ungeipandisha daraja mkuu"""mimi ni manager wa NottinghamUliendaje huko????ungeipandisha daraja mkuu"""mimi ni manager wa Nottingham
Nataka niyanyooshe tena.......ngoja niyaibukie dadeqqq!!!umewapiga kipigo cha paka mwizi
