Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,638
- 7,145
[emoji23][emoji23] hatariii sana mkuu"""mimi online mechi 200 nimeshinda 130 draw 20 vipigo 50Haaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Online Kama huja hack kikosi ni sawa na kazi bure[emoji16][emoji16][emoji16]
Utachezea vichapo mpaka useme po[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi natamba tu mkuu
Uko tier ya ngapi UKUTANE na mziki wangu mnene??[emoji23][emoji23] hatariii sana mkuu"""mimi online mechi 200 nimeshinda 130 draw 20 vipigo 50
5Uko tier ya ngapi UKUTANE na mziki wangu mnene??
Mimi napaki basi ukishambulia sana hafu nkipiga counter nyavu[emoji23][emoji23][emoji23]
Poa poa msomba"Nipo ya 4
ukipanda nishtue
Timu yangu ni BARCANATION
Mimi niko tier one na sijahack...Asilimia kubwa kuanzia tier ya 3 wamehack [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukijichanganya tu unachezea goal za kutosha
Umecheza michezo mingapi online mpka saizi na ulitumia mda gani kufika tier 1 bila kuhack[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi niko tier one na sijahack...
Hadi sasa nimecheza michezo elfu moja mia tanoUmecheza michezo mingapi online mpka saizi na ulitumia mda gani kufika tier 1 bila kuhack[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu na Maria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi sasa nimecheza michezo elfu moja mia tano
kaka ukilijua hilo varangati lake sio mchezo uwezi cheza tena dream leagueAh magumashi tu Hata halieleweki bora dream league
We unalichezaga mkuukaka ukilijua hilo varangati lake sio mchezo uwezi cheza tena dream league
sanaaWe unalichezaga mkuu
Lina mb ngapi kwanzasanaa