Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Huwa naplay na vipii natoa ila ukihack unacheza bila pressure"""namimi ningehack ila simu ni unrooted
Asilimia kubwa kuanzia tier ya 3 wamehack [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukijichanganya tu unachezea goal za kutosha
 
371176cc3ee391b056af6745f05e428f.jpg


Samatta two goals[emoji817][emoji817][emoji817]
Hii sio real huyo samata wa kutengeneza,hawajamuingiza kwenye game bado
 
Wadau PES18 ipo poa ?nataka niidownload icje nmalizia mb zangu maan ni 1.2gb nyingi bana
 
c7934fe8cbf4a2394707426a3a836c3e.jpg
hili game wameanza kuchiti sasa kah rangi gani hizo sasa nimeshindwa hata kuwatambua wachezaji wangu hahahaha Aiseeeeh hili jipya hatulitaki waturudishie la2017
 
Back
Top Bottom