DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
DLS 19 imetoka but sijaielewa kwani mpaka dakika hii sijaweza kuhack hili dude ili nilione lina utamu gani......Huu Uzi umepoa kama Kesi ya Amber Ruth![]()
DLS 19 imetoka but sijaielewa kwani mpaka dakika hii sijaweza kuhack hili dude ili nilione lina utamu gani......Huu Uzi umepoa kama Kesi ya Amber Ruth![]()
Shindu napataje coin m nnalo game nmedownlod via play storeMkuu ebu tumwagie ujuzi wa kupta hizo coins kwa urahisi




Mazee mbona dls 2019 ni ngumu hivi?
Jaribu kwenye store zingine tofauti na playstore.Natafuta sana game la First Touch Soccer silipati maana ndo nalipenda kuliko dream league, mnisaidie wakuuu nipate kuenjoy hapa sina game hata moja.
Ugumu wake upo kwenye nini mkuu...Mazee mbona dls 2019 ni ngumu hivi?
Okay
Mkuu naipataje hii game ya first touch maana DL nishalichoka asee.Haya tucheze lige yetu sasa.View attachment 1077825View attachment 1077826
huu uhuni nimeufanya sana mkuu.....ila hizo rates za wachezaji unakuta prisons ina nguvu kuliko yanga au kama hapo kindoki yupo juu ya manura😃😃😃Haya tucheze lige yetu sasa.View attachment 1077825View attachment 1077826
Haya tucheze lige yetu sasa.View attachment 1077825View attachment 1077826
Halipo kwa link mfate uyu+37122288456Mkuu weka direct link ya hii kitu aisee...
Kwamba namfollow vip via whatsapp or what au nafanyaje kulipata kupitia uyo???Halipo kwa link mfate uyu+37122288456