Apewe hongera mgunduzi wa PM

Apewe hongera mgunduzi wa PM

mimi hata sipendi PM kiukweli........... ni hiyo basi tu.
 
Kazi ya PM ni kuweka hela, kama vile wallet itumikavyo Khantwe.
 
PM imewapa watu wachumba, imewapa one-night stand, PM imewapa watu wafadhili wa masomo..kupitia PM watu wamenegotiate biashara, PM imewafanya watu wawe karibu zaidi binafsi binafsi, Pm imewapa watu mambo ya siri amabyo huwezi yaona kwenye post na thread za kawaida. PM ndani ya JamiiForum ndio the best feature ever innovated, apewe hongera aliyebuni hii kitu.
Mambo mengi ambayo hayafai kuwekwa hadharani kwenye jukwaa yanazungumzwa kwenye PM.Binafsi imenisaidia sana.Na ndio maana kuna sheria hapa JF inakataza PM kuwekwa hadharani.True ndugu yangu PM is the greatest facility here at JF. Na by the way, hakuna mtu tofauti aliyegundua PM, ila ni programmers haohao wa software hii ya Forum; vbulletin.
 
PM imeniunganisha na nshomile wenzangu,,,daaah asante saaana PM jamani
 
Pm imenipatia kiwanja cha maana kwa bei ya kutupa eneo la Bunju. Sikuamini kwa kweli mpaka siku tulipoandikishiana mbele ya mamlaka husika
 
Naomba PM unipatie mshauri wa maisha yangu magumu.
 
Back
Top Bottom