kwanza wewe si mgeni nakujua sana
windek windek windek...
Karibu Cabo Snoop
kwami ile id ban yake inaisha lini? miakwani amekataa jamani?mia
ile id ingine ina ban nini?si nilikutoa lunch, kwako siyo mgeni ila JF mgeni
m mtoto wa mjini kwanini nionyeshe unyonge ili kila mtu anionee???Halafu dogo mbona unaonyesha kama mzoefu hapa jukwaani? Anyway welcome back
ipi tena?kwanza ban ndiyo nini, m sivuti bangi mbona???????ile id ingine ina ban nini?
we jamaa kwa kufananisha watu!!!!!!!!!!!utaibiwa bongo hapa,Acha mbwembwe, wewe sio mgeni hapa JF. Sioni umuhimu wa kukukaribisha.
huu ugeni wako leo umenifurahisha sana khaaaipi tena?kwanza ban ndiyo nini, m sivuti bangi mbona???????
ahsanteKuna id zinachekesha kweli.
Karibu sana.
achana na bebii, nilimtoa lunch then nikamwambia hela atoe mwenyewe, mi mgeni humu, huono ananiambia eti bangi imeisha wakati sivutikwani amekataa jamani?mia
hahahahahahah, unamaanisha kamata mwizi men???duh!!!!m nitawafundisha kuongea kama bubu
we jamaa kwa kufananisha watu!!!!!!!!!!!utaibiwa bongo hapa,