Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,813
Hongera zake. Mwache ale ujana...
mwenzako Dina inamuuma hajaolewa mpaka saivi, ana jipa moyo kwa tukio hiliKweli ngoja nitulize boli mpaka nifike miaka70![]()
Dahweeee, usiombe kukutana na mashine za watu wazima ni watamu ajabu kama ana miaka 15, hao wameshafikia menopause kauchi kanakuwa kadogo. nakwambia hutamuacha.
Ha haa hiyo kutu iote tu banaItaota kutu coz unakula vya kula vya ajab ajab
Nikulinde kwani mie mlinzi?mwenzako Dina inamuuma hajaolewa mpaka saivi, ana jipa moyo kwa tukio hili
Vale nilinde

Kwahiyo huyo alio olewa akiwa na 55 na huyo wa 60 wanauwezo kwa kuzaa?Kanisani last year mama wa 55 years kaolewa, so wanaochanganyikiwa kisa ndoa watulize kiboli mda wao haujafika
Halafu utaweza kumzalia huyo mumue ukiwa na miaka 70? Acheni kulisha upepo wakati ulio kubalika ni sasa kesho siyo yakoKweli ngoja nitulize boli mpaka nifike miaka70![]()
Ndiyo tatizo la kutojuaa haswa nini maana na misingi ya ndoa mkuu ndoa si mashine mkuu ingekuwa hivyo watu wasingekuwa wanafikisha miaka hamsini ya ndoa zaoSasa ukiolewa wakat unachukua pensheni kuna raha gani?!
Mashine yenyewe inakuwa out of order
Sara alizaa akiwa na miaka90Halafu utaweza kumzalia huyo mumue ukiwa na miaka 70? Acheni kulisha upepo wakati ulio kubalika ni sasa kesho siyo yako
nenda kanda ya ziwa hukoNataka kumuna huyo mwanamke anayeishi na mwanaume kwa miaka zaidi ya 30 bila ndoa
Kutoa mahari ni uchumba tayari sio nyie mnahamia tunenda kanda ya ziwa huko
mtu katoa mahari tuu...!!washajukuu ndo wanaoana!
uchumba miaka 30...Kutoa mahari ni uchumba tayari sio nyie mnahamia tu
Ngoja ninyamaze tuuchumba miaka 30...
aaahh!wapi...!!!
Mwanaume atakuwa ana 80,usiangalie upande mmoja,ww umemuona mwanamke tu?Mwanamama huyu sijajua ni wa nchi gani lakin amefunga ndoa kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 60 kwa hiyo usikate tamaa kama bado hujaolewa na unataka sana ndoaView attachment 467363
Wapo wengiNataka kumuna huyo mwanamke anayeishi na mwanaume kwa miaka zaidi ya 30 bila ndoa
Itaota kutu coz unakula vya kula vya ajab ajab