Naomba kwa mwenye new updates kwa wale waliofanya/waliofanyiwa usahili kama wameshaanza pigiwa simu kwa kuanza kwa training,maana kwa website yao no new updates until this moment,lakini naaminin kuna baadhi watakuwa na taarifa ama wamepigiwa simu na NDC.
natanguliza zangu shukrani kwa wote.
natanguliza zangu shukrani kwa wote.