Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
Hana jipya!
Amechoka akili na mwili, na anaelewa wazi kuwa changamoto za Bunge la sasa hatakaa aziweze!...Watu kama akina Tundu Lisu ni mwiba sana kwake, na anajua kuwa 2015 wataingia vijana matata zaidi na wabishi mno!
Namsifu kwa kuona zaidi ya pua yake!
bungeni ni eneo la kumfanya mtu kuwa maskini na sio tajiri na yeye amekopa pesa benki ili jange nyumba by spika makinda chanzo ITV & TBC 1 na pia metangaza kustafaa 2015
Nikiwa primary sch. miaka ya 1980, huyu mama tayari alishakuwa mbunge! Leo hii eti akakope pesa ya kujengea nyumba! Alikuwa wapi muda wote? Na hizo fedha za ubunge alikuwa anapeleka wapi?
Yaani miaka takribani 37 anajenga shule! Hii kali!
nyumba ipi... Ile ya knyama aliyofunga barabara kauza?Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
Naona wengi mnakosa point anayo iongea makinda.
Kasema hata gombea tena ubunge,............Kauli kama hii alisha itoa Sitta pia.
Wote hawa wana maanisha kwamba watakuwa kwenye mchakato na mchanyato
wa kuingia Ikulu,.........subirini watakavyo kwaruzana huko............
unamaanisha huyu naye anataka kugombea? kwa kigezo gani? cha uanamke kama alivyoukwaa u spika? ...nitaingia msituni huyu maama akipewa
huyu ni muongo yale mabasi ya SUPER FEO DAR- SONGEA NI YAKE PESA KAZIONA WAPI?
Nakusanya ushahidi kuhusu mali zake nikiukamilisha nitaumwaga hapa jamvini.