Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba
Kwa kweli hayo sio maneno kutoka kwa mtu mzima kwenda kwa watu wazima wenzie.Huuu unafiki mkubwa kweli anasema akakope ili ajenge haya ni ya kweli au kutudharau tunasubiri mikopo ili tujenge? Makinda ni kweli hadi leo hana hata nyumba? alishakuwa mkuu wa mkoa,mbunge na leo spika.....kweli bibi kiroboto ameamua kututukana....Na hili ndilo lifanywalo na viongozi wa Tanzania wakidhani kuwa sisi hatuna akili......mi nimeona kama yule mama sasa kachanganyikiwa...
utapewa miongozo humo humo ndaniNi uamuzi wa busara sana. Amefika mahala ambapo si wengi wanafika. Ni mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania, ameweka historia, umri nao umekwenda. Mimi nangoja mwaka wake wa mwisho nipeleke posa, atanifaa sana kumtazamia pesa atazokopa.
Nikichukuwa ngoma hiyo, itabidi niende kwa kuomba miongozo.