Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Mafanikio yanayiweza kupimwa na muda aliotumika ndio utakuwa shahidi wa ufanisi wake.Kwa mtazamo wangu hajaweza kuisaidia nchii hii katika kujikwamua na halingumu ya uchumi kwa kipindi alichohudumu nchi.Ni vema angepisha wengine wenye mtazao tofauti waweze kuibadili nchi hii ambayo toka ipate uhuru,tunaweza kugharimia budget yetu kwa asilimia juu kidogo ya hamsini.AIBU
 
Nadhani wananchi wa jimbo la Njombe kusini wanaweza kueleza mchango wake katika kuwaletea maendeleo au kama hakuwa na mchango.
Mchango wa kudidimiza watanzania
Hebu atuondokee zake akalime Pareto
 
Nikiwa primary sch. miaka ya 1980, huyu mama tayari alishakuwa mbunge! Leo hii eti akakope pesa ya kujengea nyumba! Alikuwa wapi muda wote? Na hizo fedha za ubunge alikuwa anapeleka wapi?

Huyu mama ni mwongo kabisa anadanganya wananchi wake c kuna kipindi alishafunga baadhi ya barabara akiwa anajenga majengo yake hizo ni hadithi za kuwadanganya wanainchi wa Njombe Kusini
 
Hao ndio baadhi ya wabunge wanaoendesha mambo kizamani na kimazoea lakini hawana wazo lolote la maana bali huwa wanaamini maendeleo yanaletwa na wazungu. Ama mwafrika hawezi kumzidi mzungu kwa maendeleo, ukitaka kuamini ngoja akutane na wazungu atajichekeshachekesha na kiingereza chake kibovu. Sasa ngoja akutane na mtz mwenzake hasa anayehoji utendaji kazi, atajifanya yuko buzzy hana muda wa kuonana na ww au hata ukimpa wazo atakuambia atalifanyia kazi.
 
Kasoma alama za nyakati na hataki kuwa sehemu ya ukatili kwa waTZ ambao ccm itaufanya mwishoni mwa mwaka huu
 
Nikiwa primary sch. miaka ya 1980, huyu mama tayari alishakuwa mbunge! Leo hii eti akakope pesa ya kujengea nyumba! Alikuwa wapi muda wote? Na hizo fedha za ubunge alikuwa anapeleka wapi?
nashangaa wanasema miaka 17 bungeni, huyu Mama Mbunge tokea 1975!

eti anaacha ajira ndio anaenda kukopa, atalipa kwa kipato gani?
 
Hivi huyu mama Makinda mbunge wa njombe kusini ni nini msimamo wake juu ya kugombea tena ubunge?
Maana kwa utendaji uliojaa ukakasi alioufanya,Sina matumaini tena kama wananchi wake watamtejesha tena bungeni
Ni mmoja kati ya maspika walioonyesha Mahaba niuwe kwa serekali kuliko spika yeyote yule.
 
Mtiti wa UKAWA sio mchezo ameogopa nguvu za vijana wapya, ndiyo mzee alafu mnapitisha safari hii hakuna ukibisha sana migumi ya ugoko, sasa hivi hata CCM kwa CCM UKAWA kwa CCM hili ndilo bunge la mabadiliko, huchelewi kupigwa yai viza ukileta mbwembe zinazokela watu humo.
 
Back
Top Bottom