Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

bi kiroboto nae huyu na binda zengwe hawana tofaut wanaropoka tu.!
 
Nendamwanakwenda. Nani anahitaji fisadi kumwakilisha? Laiti ungekuwa na familia huuungekuwa wakati mzuri wa kwenda kucheza na wajukuu. Hata hivyo wanasiasa wetuhawaaminiki. Atasema hivi kesho anabadilisha. Kwa uchu na tamaa ya pesaunadhani ataacha kugombea na kuchakachua uchaguzi?
 
Walau nampongeza kwa kugundua kuwa karibu maji yanamwagika! Ila aache kudanganya umma kuhusu huo umaskini.
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Kwanza nampongeza kwa uamuzi huu,nadhani kasoma majira na nyakati....nadhani nitamani kusikia kutoka kwa Wassira kwani amechoka sana,Mrema kachoka kupita maelezo nk...Lakini leo Bi Anne kaniacha hoi sana,kachomekea suala la posho kama kawaida na kusema tunaporudi majimboni wapiga kura wetu wanashida nyingi sana kwa hiyo haka kaposho ndio kakuwasaidia...namshangaa huyu mama hivi Mbunge kazi yake ni kugawa hela ua kazi yake ni kuunga nguvu ya pamoja na wapiga kura wake kujikomboa...kumpa mtu hela sio suluhu ya tabu zake...Lakini lingine ni pale alipokuwa anakazana kuwaambia wapiga kura wake,2015 sigombei tena mtafute mtu mwingine na mie nikope nijenge maana baadae mtakuja kunicheka kuwa huyu mtu wa ajabu sana...
 
Hana jipya!
Amechoka akili na mwili, na anaelewa wazi kuwa changamoto za Bunge la sasa hatakaa aziweze!...Watu kama akina Tundu Lisu ni mwiba sana kwake, na anajua kuwa 2015 wataingia vijana matata zaidi na wabishi mno!
Namsifu kwa kuona zaidi ya pua yake!

Anajua waliomuweka atakuwa ameshamaliza nao mkataba maana alikuwa na amekuwa daraja la jumng'oa Sitta. Lakini tusishangae akala matapishi yake kama walimuweka wataendelea kumhitaji kumtumia tena.
 
Wataondoka wengi maana JK na serikali inawayumbisha na kuwadhalilisha mbele ya watz
 
huyu mama anapaswa apelekwe mirembe akapimwe akili nimemsikia anasema miaka kadhaa ijayo watu kama maprofesa na wafanyakazi wengine hawata kua wanaacha kazi zao kwa kuwa bungeni kunawafanya watu kuwa masikini.....kwa nini wasiache sasa kugombea ubunge hadi wasubiri miaka kadhaa ijayo. Na amezidi kuzitetea posho mpya za wabunge.

well, simlaumu sana mama yetu lakini anawakilisha mawazo ya kizazi kilichopita chenye uvivu wa kujituma na kumtumikia kafiri bora mkono uende kinywani....

ni kizazi ambacho hakina matumizi makubwa ya kichwa.... hakiwezi hata kuset priorities za taifa..... ni kizazi cha hunters and gatherers...... hakijafikia hata stage kuitwa horticultural societies.........
a
kizazi hiki huona bora kiue kiwanda cha kiatu ili kinunue viatu vya ulaya.....

kizazi hiki huona bora kiue ginerry na vyama vya ushirika ili products zikawe processed ulaya.....

kizazi hiki hudhani kuwa kutembelea 4 wd za gharama kutainua uchumi kuliko kujenga barabara bora....

kizazi hiki hupenda kwenda kupumzika ulaya na si kuendeleza mambo mazuri ili kipimzikie nyumbani....

kizazi hiki hupenda sana dili za muda mfupi mfupi hata kama zina gharama kwa taifa...

kizazi hiki hakioni umuhimu wa huduma ya reli kuwa bora na umuhimu wa huduma hii kuwa chini ya state.....

kizazi hiki ni hopeless.... ni hopeless kuliko kile cha chifu mwangunga kwani kimeenda shule lakini mambo yao kama kinavuta bangi mbichi......

it is high time tulijipanga kwenye forum zetu kuwa tupigane mshahara wa mbunge uwe as high as the university professor....ili ONLY COMMITED PEOPLE TO GET IN PALE MJENGONI.........

kwa heshima na taadhima NINAWAOMBA WABUNGE WOTE WAZEE WAFUNGASHE NA WAIGE MFANO WA MAMA MAKINDA (ambaye kwa kauli hii nimemuheshimu sana)....

pia nawaomba wale wabunge vijana wanaofikiri kwa kutumia masaburi pia waunge bogi.....

lets leave the brilliant DOT COMs produce the new cadre to save our sunking Tanzania....

such that hakutakuwa na KULOGANA tena kwa ajili ya hii position......

kiasi kwamba B**** letu limekuwa kambi la wachawi.....

mAMA YETU KASOMA ALAMA ZA NYAKATI...she is brilliant!

Mungu mbariki Makinda...

Mungu ibariki Tanzania...
 
kwa sababu kipindi kijacho hachaguliki (sizitaki mbichi hizi), na hata akichaguliwa hawezi kuwa Spika tena, kwa kuwa itakuwa ni zamu ya spika kuwa mwanaume na hana uwezo wa kujibadili awe mwanaume, that's it!
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

Atake asitake nani wakumpa kura kwa aliyotufanyia kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja tu
 
Asitufanye sie madunya. Ashanyonya vya kutosha na sasa bora awaachie wengine. Yaani tangu akiwa binti kigoli mpaka leo anapokua bibi bado yumo mjengoni

we MSHENZI, madunya ndo nini?
 
Ile nyumba ya sinza iliyokuwa ikipigiwa kelele kwamba aliziba njia ya mtaa siyo yake???
 
ana ghorofa ya kisasa mbili nazijua moja ipo kijitonyama karibu na kituo cha polisi mabatini na nyingine karibu na nyerere mikocheni. nadhani ya kijinyama ndio anaishi ya mikocheni kampangiza mdogo wa rostam aziz aliyekamatwa na madawa ya kulevya tanga

ebwana eeh! Hii kali
 
Back
Top Bottom