Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 688
bi kiroboto nae huyu na binda zengwe hawana tofaut wanaropoka tu.!
Sishangai sana kuwa anakopa ili ajenge manake hata Pinda alidai ana mil 25 kwenye account yake
pumbavu!!!!!!
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Hana jipya!
Amechoka akili na mwili, na anaelewa wazi kuwa changamoto za Bunge la sasa hatakaa aziweze!...Watu kama akina Tundu Lisu ni mwiba sana kwake, na anajua kuwa 2015 wataingia vijana matata zaidi na wabishi mno!
Namsifu kwa kuona zaidi ya pua yake!
huyu mama anapaswa apelekwe mirembe akapimwe akili nimemsikia anasema miaka kadhaa ijayo watu kama maprofesa na wafanyakazi wengine hawata kua wanaacha kazi zao kwa kuwa bungeni kunawafanya watu kuwa masikini.....kwa nini wasiache sasa kugombea ubunge hadi wasubiri miaka kadhaa ijayo. Na amezidi kuzitetea posho mpya za wabunge.
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
alama za nyakati
Asitufanye sie madunya. Ashanyonya vya kutosha na sasa bora awaachie wengine. Yaani tangu akiwa binti kigoli mpaka leo anapokua bibi bado yumo mjengoni
Goodluck Grandma
ana ghorofa ya kisasa mbili nazijua moja ipo kijitonyama karibu na kituo cha polisi mabatini na nyingine karibu na nyerere mikocheni. nadhani ya kijinyama ndio anaishi ya mikocheni kampangiza mdogo wa rostam aziz aliyekamatwa na madawa ya kulevya tanga