Anne makinda ni mwanamke??

Status
Not open for further replies.
Wapendwa wa JF,
MBONA Mnaacha kuhoji utendaji mnaingilia mengine? Mheshimiwa huyu kama alikuwa mkali, alikuwa kazini akifanya kazi yake kama naibu spika na siyo kama mwanamke! Kwamba ana mume, mtoto hayo yanahusiana vipi na kazi yake jamani? Wengine wanaenda mbali zaidi kutaka kum pair up na wanaume! Loh jamani ogopeni Mungu!
 
Jike Dume! Kwi-kwi-kwi!

Siku alipokalia kiti kuendesha bunge, ladha ya kutazama na kusikiliza ilipotea kabisaaaa! Hafai!
 
Bunge la nyuma ilikuwa kama nataka kutizama ya bungeni halafu mama kakalia kiti cha uspika hamu yote inaniishia nabadilisha channel haraka. Always ni mtu wa hasira, mbabe, muonevu... Hata sauti yake sikupenda kuisikia....... Najua mafisadi wa lisisiem wamemweka ili kulinda maslahi yao...

Warning kwake:; Kama ataendesha bunge isivyo nitamtafuta popote na atantambua!!! Halafu ajue TZ ya leo sio ile ya 47
 
Wapendwa wa JF,
MBONA Mnaacha kuhoji utendaji mnaingilia mengine? Mheshimiwa huyu kama alikuwa mkali, alikuwa kazini akifanya kazi yake kama naibu spika na siyo kama mwanamke! Kwamba ana mume, mtoto hayo yanahusiana vipi na kazi yake jamani? Wengine wanaenda mbali zaidi kutaka kum pair up na wanaume! Loh jamani ogopeni Mungu!

WoS:

Society yoyote yenye "moral principles" huwa inawiwa kufahamu hata kiatu cha aina gani kiongozi wao anavaa - kama kiongozi ni lazima uwe una maadili na makuzi ambayo yatawapa watawaliwa "confidence" ya kutawaliwa. Tatizo kubwa sisi Wa-Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashadidia "immoralities" za viongozi. Unakuta gari la "state house" limesimama "nyumba ya kulala wageni" Tandale unachekela na kumsifu aliyekuwa na hilo gari!

Kwa umri alionao huyu Mama lazima tufahamu "background" yake ili "tumkubali" - Bunge ni la Watanzania Wote - She is not Allien - Ni mwanamke kama wanawake wengine - lazima tuhoji kama Ameolewa?, Ameachika?, Widower?, Ana Watoto?, Hana Watoto?, Ana Umri gani?, Alishawahi kufanya nini?, e.t.c - Ni maswali ya msingi yanayoweza kukufahamisa tabia njema/mbaya ya mtu yoyote yule.
 
Bunge lililopita alikuwa mama mwenye hasira muda wote! Sidhani kama anafaa. hana busara. hana lugha laini yenye akili. Ni mkali for nothing. ngoja tuone.

Huyu mama alizaa zamani na mwanae ameolewa yuko marekani!! It seems she had a terrible experience with the man who fathered her daughter hence her negative attitude towards all men!! Juu ya yote, kwa umri wake yuko kwenye monapouse kwahiyo lazima awe ni mtu wa hasira hasira hivi. I predict lazima huyu mama will precipitate a crisis vis a vis the opposition kama hatarekebisha mwenendo wake wa jinsi ya kuendesha bunge.
 
small-IMG_0291.JPG
Hapa wanaapa au wanaimba hymns? Naona Makinda hana concentration!
 
WoS:

Society yoyote yenye "moral principles" huwa inawiwa kufahamu hata kiatu cha aina gani kiongozi wao anavaa - kama kiongozi ni lazima uwe una maadili na makuzi ambayo yatawapa watawaliwa "confidence" ya kutawaliwa. Tatizo kubwa sisi Wa-Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashadidia "immoralities" za viongozi. Unakuta gari la "state house" limesimama "nyumba ya kulala wageni" Tandale unachekela na kumsifu aliyekuwa na hilo gari!

Kwa umri alionao huyu Mama lazima tufahamu "background" yake ili "tumkubali" - Bunge ni la Watanzania Wote - She is not Allien - Ni mwanamke kama wanawake wengine - lazima tuhoji kama Ameolewa?, Ameachika?, Widower?, Ana Watoto?, Hana Watoto?, Ana Umri gani?, Alishawahi kufanya nini?, e.t.c - Ni maswali ya msingi yanayoweza kukufahamisa tabia njema/mbaya ya mtu yoyote yule.

Thank you!

img_3789.jpg
 
Namkumbuka huyu mama mwaka 1995 alivyowarukia akina JK na EL pale Airport walipotoka DOdoma kuchukua fomu za kugombea Urais. Mwaka ule nadhani ndio angekuwa Spika kama JK angekuwa Rais. Nafasi hii amecheleweshewa mno na ndio kisa cha kutofanya kazi vizuri na 6.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom