Wapendwa wa JF,
MBONA Mnaacha kuhoji utendaji mnaingilia mengine? Mheshimiwa huyu kama alikuwa mkali, alikuwa kazini akifanya kazi yake kama naibu spika na siyo kama mwanamke! Kwamba ana mume, mtoto hayo yanahusiana vipi na kazi yake jamani? Wengine wanaenda mbali zaidi kutaka kum pair up na wanaume! Loh jamani ogopeni Mungu!
Bunge lililopita alikuwa mama mwenye hasira muda wote! Sidhani kama anafaa. hana busara. hana lugha laini yenye akili. Ni mkali for nothing. ngoja tuone.
Hapa wanaapa au wanaimba hymns? Naona Makinda hana concentration!
What matters doesn't matter in Africa.
Hapa wanaapa au wanaimba hymns? Naona Makinda hana concentration!
Jike la mbegu.
Hapa wanaapa au wanaimba hymns? Naona Makinda hana concentration!
WoS:
Society yoyote yenye "moral principles" huwa inawiwa kufahamu hata kiatu cha aina gani kiongozi wao anavaa - kama kiongozi ni lazima uwe una maadili na makuzi ambayo yatawapa watawaliwa "confidence" ya kutawaliwa. Tatizo kubwa sisi Wa-Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashadidia "immoralities" za viongozi. Unakuta gari la "state house" limesimama "nyumba ya kulala wageni" Tandale unachekela na kumsifu aliyekuwa na hilo gari!
Kwa umri alionao huyu Mama lazima tufahamu "background" yake ili "tumkubali" - Bunge ni la Watanzania Wote - She is not Allien - Ni mwanamke kama wanawake wengine - lazima tuhoji kama Ameolewa?, Ameachika?, Widower?, Ana Watoto?, Hana Watoto?, Ana Umri gani?, Alishawahi kufanya nini?, e.t.c - Ni maswali ya msingi yanayoweza kukufahamisa tabia njema/mbaya ya mtu yoyote yule.
Thank you!
hapa alikuwa hajaanza uwizard