BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,002
Nimesikia wapuuzi wa ccm wakiongea tunaitaji bunge la spika mwanamke,...kiila nikiangalia najiuliza huyu kweli ni mwanamke??kwa waliokuwa wakifwatilia bunge waliona mambo aliokuwa akifanya mpaka kutukana wazee wetu na kuwalazimisha waketi kama wajuu zake kama vile we panya nakwambia kaa chini utaki...nimekaa nikajiuliza huyu mama ameolewa??najua wapo waliooana wenyewe kwa wenyewe ilinigarimu kuamini huyu mtu ni mwanamke jinsi alivyokuwa akijibu wabunge na mwaka huu atarajie matusi ya nguoni kwa vijana wa mjini kama si kuimbwa kwenye nyimbo kwa upuuzi anaotaka kuendelea nao.....labda maniasaidie jamani ni mwanamke mwanamume