raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 9,104
- 26,440
Sasa mtu alikua mfanyakazi wa serikali tena wa ngazi za juu kwa miaka mingi pesa hizo hakosi
Kwenye nafasi alizoshika karibia kila kitu alikua anahudumiwa na serikali
Mbona walim mtaani huku wanapostaaf na wao wanaporomosha mijengo hamsemi 😃😃😃 au makinda inashtua kidogo 900 paref hahahaa
Kwenye nafasi alizoshika karibia kila kitu alikua anahudumiwa na serikali
Mbona walim mtaani huku wanapostaaf na wao wanaporomosha mijengo hamsemi 😃😃😃 au makinda inashtua kidogo 900 paref hahahaa