King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,652
Kwa miaka zaidi ya 30 akiwa mbunge 900m kwake ni fedha ndogo sana.
Afadhali unamfahamu kidogo sometime JF wanawapakazia watu vitu sio sahihi nipo USA nasikia kuna mtoto wa makinda huku ndo maana nilistuka japo simfahamu lakini wapo wabongo wengi wanamjuaUnamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Uwe spika wa bunge mstaafu, unakosaje hivo vihela? Mkuu acha utaniHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Ya yupo huko anaishi na kufanya kazi na ameolewa na ana Watoto piaAfadhali unamfahamu kidogo sometime JF wanawapakazia watu vitu sio sahihi nipo USA nasikia kuna mtoto wa makinda huku ndo maana nilistuka japo simfahamu lakini wapo wabongo wengi wanamjua
Alikua Mtumishi wetu miaka zaidi 30 !!..alawekeza fedha yake kwenye biashara!!..Unataka awe omba omba!!..Mwacheni ale mema ya Nchi...Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Huwa na shangaa akili yako!Mkuu ni 2.7 trillions 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions na 2017/2018 alikwapua 1.2 trillions zote hizi CAGs Assad na Kichere waliandika kwenye ripoti zao za mwaka.
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....
Ila.....
Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........
My take:
Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Nakubaliana na wewe...Mama Makinda hawezi kuwa fisadi....wasemeni wengine lakini siyo huyu Mama wa watu...Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....
Ila.....
Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........
My take:
Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Nimekusoma mkuu.Superfeo yuko Mwamba Omari Msigwa,Felician Msigwa na Msigwa mwingine.Hiyo ya Makinda kumiliki superfeo labda utuletee Memarts tuone share.Superfeo ni brand ya akina Msigwa
Acha unafiki ufate yakoHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Lazima alidokoa mahali.Hamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Angalia na mjengo wa prof mabalawa pale mwenge inapojengwa stand mpya ya dala dala. Jengo la umma limesimama kwa ukosefu wa fedha ila leo mtumishi wa umma linaenda kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hawataki katiba mpya waendelee kutuibia na kunufaikaHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.