Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Afadhali unamfahamu kidogo sometime JF wanawapakazia watu vitu sio sahihi nipo USA nasikia kuna mtoto wa makinda huku ndo maana nilistuka japo simfahamu lakini wapo wabongo wengi wanamjua
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Uwe spika wa bunge mstaafu, unakosaje hivo vihela? Mkuu acha utani
 
Afadhali unamfahamu kidogo sometime JF wanawapakazia watu vitu sio sahihi nipo USA nasikia kuna mtoto wa makinda huku ndo maana nilistuka japo simfahamu lakini wapo wabongo wengi wanamjua
Ya yupo huko anaishi na kufanya kazi na ameolewa na ana Watoto pia
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Alikua Mtumishi wetu miaka zaidi 30 !!..alawekeza fedha yake kwenye biashara!!..Unataka awe omba omba!!..Mwacheni ale mema ya Nchi...
 
Mkuu ni 2.7 trillions 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions na 2017/2018 alikwapua 1.2 trillions zote hizi CAGs Assad na Kichere waliandika kwenye ripoti zao za mwaka.
Huwa na shangaa akili yako!
 
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....

Ila.....

Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........

My take:

Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...

#SiempreJMT
#NchiKwanza

Umesema vizuri, ila ulipofika hapo kwenye u Zalendo mkubwa ndo umeleta changamoto ya kupumua
 
Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....

Ila.....

Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........

My take:

Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...

#SiempreJMT
#NchiKwanza
Nakubaliana na wewe...Mama Makinda hawezi kuwa fisadi....wasemeni wengine lakini siyo huyu Mama wa watu...
 
Superfeo yuko Mwamba Omari Msigwa,Felician Msigwa na Msigwa mwingine.Hiyo ya Makinda kumiliki superfeo labda utuletee Memarts tuone share.Superfeo ni brand ya akina Msigwa
Nimekusoma mkuu.
Vijiweni Kuna umbea mwingi sana
 
Na bado yupoyupo sana kwenye majukumu ya serikali! Jukumu lake ni moja tu kuunga mkono serikali kila jambo, ruzi, baya kweke poa!
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Acha unafiki ufate yako

Chukua chako mapema,kweni alikua analipwa shingapi mshahara na posho? Kwni hakopesheki?

Punguzeni shobo
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Lazima alidokoa mahali.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Angalia na mjengo wa prof mabalawa pale mwenge inapojengwa stand mpya ya dala dala. Jengo la umma limesimama kwa ukosefu wa fedha ila leo mtumishi wa umma linaenda kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hawataki katiba mpya waendelee kutuibia na kunufaika
 
Watanzania ni wambea mno. Kuhoji maumiz ya 900m kwa mtu kama ANNA MAKINDA ni uvivu wa kufikiri. Amekuwa bungeni kwa miaka 40, toka 1975-2015 kupitia u RC, Viti maakum, kuchaguliwa.
Amekuwa mwenyekiti wa bunge na mjumbe wa PAC.
Amekuwa mkuu wa mkoa miaka 5.
Amekuwa waziri kwa mihula 3
Amekuwa naibu speakea 5yrs
Amekuwa speaker 5yrs.
Amekuwa mjumbe wa bodi mbalimbali kama NBC, TRC, TES, AUDITORS. LEGAL CORPS, TEXTILE COMPANIES, n.k
Chaman amekuwa mjumbe wa mkutano mkuu na halmashauri kuu 35yrs kamati kuu zaidi ya miaka 15, amekuwa kiongozi wa jumuia xa vijana na wazazi kwa miaka kadhaa
Ni mstaafu anakula pension kiulain na sijajua marekebisho za mafao ya viongozi kama yalimgusa speaker ninachokumbuka rais akistaafu mbali ya lump sum ataendelea kupata 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakan.
Hapo hatujaangalia kawekeza kiasi gani.
Kama hakuna scandal yoyote ya ufisadi hakuna mantiki kuhofia 900
 
Back
Top Bottom