Anne Kilango Malecela awa bubu ghafla

Anne Kilango Malecela awa bubu ghafla

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
712
Reaction score
332
Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea.

Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi...

Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....
 
:smile:SIO YEYE TU ILE KAMBI YA KUPINGA UFISADI YA WAKINA OLE SENDEKA NA LEMBELI Mbona hatuwaoni au hawa sio mafisadi
 
Anatafakari aaanze anze vipi! Manake ndege wenye mbawa sawa huruka pamoja!
 
Yuko kimya Mwanae William alishidwa Ubunge pamoja na Campaign ya hali ya Juu, Usiku na Mchana bila kulala
 
ni bonge ya mtego Comrade na ndio kipimo chao maana maneno matupu hayasaidii naamini hata kama ndo lowasa angekuwa pahala pale pa uwaziri mkuu mh kilango ndo asinge uzulia kikao kabisa kwa kimbia hoja kelele tu zile ngoja na tusubiri
 
Anaogopa CC isije ikakata jina lake, maana anataka kugombea Uenyekiti wa UWT (Taifa)
 
neno UZALENDO kazi sana,na siku zote mungu hamfichi mnafiki.uko wapi mama,sauti yako kali ya kuchangia hoja kupinga uzalendo imekauka?au ile chai ya ngereja uliyoikataa siku ile umekunywa ya pinda?hata kama umezibwa mdomo hata sahihi je?
 
Hana Mvuto tena katika tasnia ya siasa kadondokea pua Kiwira, Na mwanae wa kufikia kagonga chini EAC kuna nini hapo!
 
.......yupo kwenye harakati za kugombea nafasi mwenyekiti UWT, hivyo akionyesha makali CC itamuengua.
 
Yaani bado tuu mlikuwa na imani na huyo mama? Mimi nilishamuona hovyoo nilipopata habari zake kuwa kwenye uchaguzi wa udiwani Kiwira alitumwa kuharibu akawa anagawa hela! Ukiona hivyo ujue ni mtu asiyependa haki yaani kiufupi ni mtu wa hovyoo kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom