Kwanini atumie biblia kwenye unafiki na ukandamizaji? Ila kwenye ufisadi hataki kuijua kabisa
Hata ukimuuliza huo mstari unapatikana kitabu gani katika biblia hawezi kukuambia, amekariri tu tiini mamlaka, huyo sio bure kuna kitu anakitafuta[/QUOTEBWANA AYA MAMBO TUNAPOYAHUSIANISHA NA VITABU VYA MUNGU WAKATI MOYONI WAJUA NI USANII INA NIPA TABU SANA, LAKINI TUTAFIKA TU