Leonard Mwaisunga
New Member
- Sep 25, 2017
- 2
- 0
Asante sana mama kwa wazo chanya,nitashukulu sana kama jambo hili litafanikiwa japo na mimi ni mmoja kati ya waathirika ambaye sina uhakika wa kumaliza masomo yangu na kwanza mwaka wa kwanza. Naomba Mungu awape nguvu katika kufanikisha jambo hili.Wazo zuri sana mfuko uitwe Anna Mghwira Education Support Trust Fund( AESTF) nitawaambia rafiki zangu pale kwa Mfalme kule redsea
KweliMama naomba usimame na mjadala huu uendeleee, kweli kuna vjiana wenzetu wameacha masomo kwa kukosa fedha zitzkazo mudu gharama za masomo yao,zipo baadhi ya taasisizinazotoamikopokweli lakini masharti yao ni magumu mno kwaraiamkulima, nakuomba mama uendeleekupaz sauti na Mungu muumba wa mbingu na nchi ataiinua sauti yako na kufikia masikio ya wenye moyo kama wako wengi,nijambo muhimu sana kwa zama hizi jamani.
Hivi haiwezekani kwamba mtoto ulimsomesha shule za english medium then alipofika Alevel mambo yakabadilika,labda ukafilisika au caregiver akafariki au akaumwa akawa hajiwezi na mtoto akawa hana uwezo wa kujilipia bila mkopo...najaribu kuangalia scenario kama hizi...na kujiulizaMikopo inatolewa kwa watoto waliosoma shule za Kata tu, huo ndiyo msimamo wa Serikali hii na ndiyo kigezo kikuu
Sema hivi, hivi hakuna wazazi wanaojinyima na wanakula mchicha na dona mlo mmoja ili kuwasomesha watoto wao english medium wakitegemea akifika Chuo kikuu na ufaulu mzuri atapewa mkopo?, jibu ni kwamba wapo wengi sana na mimi ni mmoja waoHivi haiwezekani kwamba mtoto ulimsomesha shule za english medium then alipofika Alevel mambo yakabadilika,labda ukafilisika au caregiver akafariki au akaumwa akawa hajiwezi na mtoto akawa hana uwezo wa kujilipia bila mkopo...najaribu kuangalia scenario kama hizi...na kujiuliza
kipindi hicho alikuwa anatumia akili zake kufikiri sahivi mwenyekiti ndo anamsaidia kufikiri nazani soon atamwomba mood wafute maana ashaenda kuunga mikono juhudi za mweshimiwa mwenyekitiKwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???
Upo wapi nowNauza vifaranga contact 0754890286
Njaa mbaya sana mkuu..tehteehhHivi huu mjadala bado upo? Au mama kesho cool?
Pambaneni Na Hali zenu CCM mbele kwa Mbele mtaisoma namba mm cmoKwanini hatutumii mapato ya gesi,mafuta kusomesha watoto,nchi hii inapesa nyingi sana,escrow walokomba 320billioni,pesa ya bodi ya mkopo itoke bandarini iende kwenye akaunti ya bodi moja kwa moja,tukipunguza ukubwa wa serikali,tuuwe wizara moja,watumishi wake wote wastaafishwe,tufanye kama sekta binafsi,kampuni ikifa,unachukua chako unasepa,
Mkoa mmoja ufe,viongozi wake wastaafishwe wore,kuanzia mkurugenzi,mpaka mkuu wa mkoa,
Pesa yote iliyokuwa inaperekwa huko,iende kwenye mfuko wa bodi ya mikopo,
Na hii ifanyike kila mwaka,vijana,Dada zetu,kaka zetu,wadogo zetu watasoma kwa raha
tehteehh.....Wakuu! Mama leo ameniomba nimwombee kwa staff wa JF kama itawapendeza basi waifute kabisa thread hii!! Inamkosesha amani,inamtisha! Tafadhali jamani,yaliyopita si Ndwele!
Hapo alikua analalamika enzi zileeee.... kabla hajatunukiwa cheo (RC) huko KilimanjaroKwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???
We ndo umenena kwan walikuwa wanashangilia Anna Mgwira kuhamia chama tawala afu Leo wanamtaka apaze sauti mdanganyeni wamtumbue hahahahahahahahahahahahahahMama kesha kuwa ccm tayari zile akili alizokuwa nazo awali hazipo tena siku hizi kapandikizwa akili mpya na akina polepole,msukuma na kibajaji,atakujarudiwa na akili zake original atakapotumbuliwa