Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

Wazo zuri sana mfuko uitwe Anna Mghwira Education Support Trust Fund( AESTF) nitawaambia rafiki zangu pale kwa Mfalme kule redsea
Asante sana mama kwa wazo chanya,nitashukulu sana kama jambo hili litafanikiwa japo na mimi ni mmoja kati ya waathirika ambaye sina uhakika wa kumaliza masomo yangu na kwanza mwaka wa kwanza. Naomba Mungu awape nguvu katika kufanikisha jambo hili.
 
Kwanini hatutumii mapato ya gesi,mafuta kusomesha watoto,nchi hii inapesa nyingi sana,escrow walokomba 320billioni,pesa ya bodi ya mkopo itoke bandarini iende kwenye akaunti ya bodi moja kwa moja,tukipunguza ukubwa wa serikali,tuuwe wizara moja,watumishi wake wote wastaafishwe,tufanye kama sekta binafsi,kampuni ikifa,unachukua chako unasepa,
Mkoa mmoja ufe,viongozi wake wastaafishwe wore,kuanzia mkurugenzi,mpaka mkuu wa mkoa,
Pesa yote iliyokuwa inaperekwa huko,iende kwenye mfuko wa bodi ya mikopo,
Na hii ifanyike kila mwaka,vijana,Dada zetu,kaka zetu,wadogo zetu watasoma kwa raha
 
Mama naomba usimame na mjadala huu uendeleee, kweli kuna vjiana wenzetu wameacha masomo kwa kukosa fedha zitzkazo mudu gharama za masomo yao,zipo baadhi ya taasisizinazotoamikopokweli lakini masharti yao ni magumu mno kwaraiamkulima, nakuomba mama uendeleekupaz sauti na Mungu muumba wa mbingu na nchi ataiinua sauti yako na kufikia masikio ya wenye moyo kama wako wengi,nijambo muhimu sana kwa zama hizi jamani.
Kweli
 
Wakuu! Mama leo ameniomba nimwombee kwa staff wa JF kama itawapendeza basi waifute kabisa thread hii!! Inamkosesha amani,inamtisha! Tafadhali jamani,yaliyopita si Ndwele!
 
Mikopo inatolewa kwa watoto waliosoma shule za Kata tu, huo ndiyo msimamo wa Serikali hii na ndiyo kigezo kikuu
Hivi haiwezekani kwamba mtoto ulimsomesha shule za english medium then alipofika Alevel mambo yakabadilika,labda ukafilisika au caregiver akafariki au akaumwa akawa hajiwezi na mtoto akawa hana uwezo wa kujilipia bila mkopo...najaribu kuangalia scenario kama hizi...na kujiuliza
 
Kwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???
 
Hivi haiwezekani kwamba mtoto ulimsomesha shule za english medium then alipofika Alevel mambo yakabadilika,labda ukafilisika au caregiver akafariki au akaumwa akawa hajiwezi na mtoto akawa hana uwezo wa kujilipia bila mkopo...najaribu kuangalia scenario kama hizi...na kujiuliza
Sema hivi, hivi hakuna wazazi wanaojinyima na wanakula mchicha na dona mlo mmoja ili kuwasomesha watoto wao english medium wakitegemea akifika Chuo kikuu na ufaulu mzuri atapewa mkopo?, jibu ni kwamba wapo wengi sana na mimi ni mmoja wao
 
Kwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???
kipindi hicho alikuwa anatumia akili zake kufikiri sahivi mwenyekiti ndo anamsaidia kufikiri nazani soon atamwomba mood wafute maana ashaenda kuunga mikono juhudi za mweshimiwa mwenyekiti
 
Tutakapokuwa tayari kuigawa vyema keki ya taifa na kuruhusu bodi ya mikopo itoe mikopo bila vigezo baguzi tutakuwa tumeliwezesha kundi linalohitaji elimu ya juu toka jamii yote liifikie ndoto hiyo bila vikwazo, mifuko, wakfu na taasisi zingine zitabaki kuhudumia makundi maalum kwa uchache wao!!
 
Samahani lakini naomba kuuliza!! Hivi huyu aliyeleta huu uzi ndio huyohuyo RC wa Kilimanjaro au mfanano wa majina?
 
Hahahahahahahahahahahahahah daah this is Tanzania ya viwandaaaaaaaaàaaaaà mnanichosha mm ujue
 
Nauza vifaranga contact 0754890286
b96d9101bd5e15a590cde8920a3f3d9a.jpg
Upo wapi now
 
Kwanini hatutumii mapato ya gesi,mafuta kusomesha watoto,nchi hii inapesa nyingi sana,escrow walokomba 320billioni,pesa ya bodi ya mkopo itoke bandarini iende kwenye akaunti ya bodi moja kwa moja,tukipunguza ukubwa wa serikali,tuuwe wizara moja,watumishi wake wote wastaafishwe,tufanye kama sekta binafsi,kampuni ikifa,unachukua chako unasepa,
Mkoa mmoja ufe,viongozi wake wastaafishwe wore,kuanzia mkurugenzi,mpaka mkuu wa mkoa,
Pesa yote iliyokuwa inaperekwa huko,iende kwenye mfuko wa bodi ya mikopo,
Na hii ifanyike kila mwaka,vijana,Dada zetu,kaka zetu,wadogo zetu watasoma kwa raha
Pambaneni Na Hali zenu CCM mbele kwa Mbele mtaisoma namba mm cmo
 
Kwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???
Hapo alikua analalamika enzi zileeee.... kabla hajatunukiwa cheo (RC) huko Kilimanjaro
 
Mama kesha kuwa ccm tayari zile akili alizokuwa nazo awali hazipo tena siku hizi kapandikizwa akili mpya na akina polepole,msukuma na kibajaji,atakujarudiwa na akili zake original atakapotumbuliwa
We ndo umenena kwan walikuwa wanashangilia Anna Mgwira kuhamia chama tawala afu Leo wanamtaka apaze sauti mdanganyeni wamtumbue hahahahahahahahahahahahahah
 
75 Reactions
Reply
Back
Top Bottom