Anna Kilango atiwa mbaroni kwa tuhuma za kutoa rushwa

hawa watu wapumbavu sana,utaendaje kutoa rushwa wrewe mwenyewe personal,like an idiot?.
sijui kwanini hawamwigi lowasa,kama unataka kutoa rushwa tumia wapambe daaaamn....

Ww si bure lazima utakuwa nyumba ndogo ya lowasa maana hiyo siri ya ndani umeijuaje?
 
Mbunge wa CCM Same Mashariki Anna Kilango inadaiwa alikamatwa na polisi jana usiku majira ya saa 5 usiku katika eneo la Dimbwi kijijini cha Bagamoyo, kwa tuhuma za kutoa rushwa kwa wapiga kura. Mtoa taarifa wetu alisema kuwa Anna alikuwa anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Gonja.

Vile vile mpambe wa Anna aliyejulikana kwa jina moja la Nuru juzi alimvamia dereva wa mgombea mmoja na kumpiga kwa kumtuhumu kuwa na bahasha za kuwagawia wapigakura, Nuru nae alikamatwa na kuwekwa ndani hata hivyo yuko nje kwa dhamana.

Ukiona manyoya ujue kesha liwa huyo!
 
Walimsema Lowasa kuwa anatoa Rushwa, Lowasa wa watu hajawahi kamatwa hata siku moja akitoa rushwa...
Mwigulu
Nape
Jairo
Etc wote wamekamatwa hadi sasa
 
dah! CCM inanuka rushwa hakuna msafi, ndio mana walimchafua Eddo wa watu.!
 
Mwaka huu bundi kaingia CCM, kila sehemu ni vurumai,huku rushwa,kule kupigana ,hapa kurogana......laana ya watz inawatafuna!

Mkuu tafiti yangu si rasmi nimetembelea vijiji vingi TZ, ukiona mganga au mtuhumiwa wa uchawi wengi wao ni wanachama wa CCM kwann?

Kuna awamu ilikuwepo wenye vipara ilikuwa dili, ikaja ingine kuchuna ngozi, sasa wenye albinism wako hatarini. Naogopa awamu ijayo isije ikaingia na wenye vitambi nao dili hawaaminiki hawa, wana laana hawa, jamani si utani wachawi hawa! Ohooo miye na kitambi changu nshaanza kwenda gym na kanisani kwa ulinzi
 
Walimsema Lowasa kuwa anatoa Rushwa, Lowasa wa watu hajawahi kamatwa hata siku moja akitoa rushwa...
Mwigulu
Nape
Jairo
Etc wote wamekamatwa hadi sasa

Kutokukamatwa haimaanishi kuwa hatoi rushwa mkuu. Anaweza kuwa kawanunua wao kwanza kabla ya kuwanunua wapiga kura. Yote yapo.
 
Back
Top Bottom