hawa watu wapumbavu sana,utaendaje kutoa rushwa wrewe mwenyewe personal,like an idiot?.
sijui kwanini hawamwigi lowasa,kama unataka kutoa rushwa tumia wapambe daaaamn....
Mbunge wa CCM Same Mashariki Anna Kilango inadaiwa alikamatwa na polisi jana usiku majira ya saa 5 usiku katika eneo la Dimbwi kijijini cha Bagamoyo, kwa tuhuma za kutoa rushwa kwa wapiga kura. Mtoa taarifa wetu alisema kuwa Anna alikuwa anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Gonja.
Vile vile mpambe wa Anna aliyejulikana kwa jina moja la Nuru juzi alimvamia dereva wa mgombea mmoja na kumpiga kwa kumtuhumu kuwa na bahasha za kuwagawia wapigakura, Nuru nae alikamatwa na kuwekwa ndani hata hivyo yuko nje kwa dhamana.
Kumbe wanaposema CCM ni Chama Cha Mafisadi inawezekana ni kweli
Ccm cdm wote mafisadi tu,
Wa kuikomboa nchi yetu hajapatikana.
Kumbe wanaposema CCM ni Chama Cha Mafisadi inawezekana ni kweli
Porisi wanakamata rushwa
Anzisha basi naww ka-act kako ili uje utukomboe watz!
Mwaka huu bundi kaingia CCM, kila sehemu ni vurumai,huku rushwa,kule kupigana ,hapa kurogana......laana ya watz inawatafuna!
Walimsema Lowasa kuwa anatoa Rushwa, Lowasa wa watu hajawahi kamatwa hata siku moja akitoa rushwa...
Mwigulu
Nape
Jairo
Etc wote wamekamatwa hadi sasa