Maana yake ni nini?Mauti yamevikwa taji dhidi ya dua.
Maana yake ni nini?Mauti yamevikwa taji dhidi ya dua.
Kwani ninani kawambia kafa kwa covid? Mwaka jana alipokuwa mkuu wa mkoa aliisha wahi kusema aliugua covid akapona,kwa kutumia majani ya miti gani huko Kilimanjaro,Sio kila kifo ni covid jamani, kwani tangu zamani Kabla ya covid,watu walikuwa hawafi?Noma sana mkuu... ndio maana nikisikia mtu anapinga chanjo namshangaa sana. Kama mtu anaona yeye yuko fit mass nondo, usiwawekee vikwazo wenzako.
Huyu naye katokea wapi?Kwani ninani kawambia kafa kwa covid? Mwaka jana alipokuwa mkuu wa mkoa aliisha wahi kusema aliugua covid akapona,kwa kutumia majani ya miti gani huko Kilimanjaro,Sio kila kifo ni covid jamani, kwani tangu zamani Kabla ya covid,watu walikuwa hawafi?
RIP apumzike kwa AmaniArusha. Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro, Anna mghwira amefariki dunia leo. Alhamisi julai 22, 2021 katika Hospitali ya mount meru mkoani Arusha alikokuwa akipatiwa matibabu.
Arusha. Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro, Anna mghwira amefariki dunia leo. Alhamisi julai 22, 2021 katika Hospitali ya mount meru mkoani Arusha alikokuwa akipatiwa matibabu.
😢😢😢
So Sad, Mungu akupe pumziko la milele.
Warumi 14:8-10
[8]Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana...
PURERIP Anna!! Umekuwa mwanamke mwenye upendo na hekima nyingi! Mola akupe nafasi stahili peponi because you deserve it! Amen!! You are irreplacable!! Among the very few good politicians!!!
Wapi nimesema kafa kwa Covid?Kwani ninani kawambia kafa kwa covid? Mwaka jana alipokuwa mkuu wa mkoa aliisha wahi kusema aliugua covid akapona,kwa kutumia majani ya miti gani huko Kilimanjaro,Sio kila kifo ni covid jamani, kwani tangu zamani Kabla ya covid,watu walikuwa hawafi?