Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Km sababu zenu ndo hizi....daima MaCCM yatatafuna nchi mpaka basi....kumbuka hata vijana ambao watakao andikishwa wote c CHADEMA,wengne ni vyama vingne,Alafu kwa nini mtegemee hasa vijana wenye upeo mdogo na wanaokula kunya kulala bure kwa wazazi wao?

kwanini mtegemee wazee wa vijijini wasio jua kusoma wala kuandika wawapiogie kura? wanao iunga mkono ccm ni wazee tena wasio jua kusoma na kuandika.
 
Nirudi wapi tena;
Mtoa mada kwanza nikupongeze kwa mada ila umekuja na kauli yenye hitimisho (conclusion) hapohapo ndani unauliza maswali.ujibiwe lipi wakati heading umeweka conclusion? Chagua heading nzuri inayoruhusu mjadala.rudi kajipange vinginevyo habar yako ni illusion nakushaur kapate hata ka certificate ka uandishi wa habar.nakutakia cku njema mtani wa chadema.
 
Uandike ukiwa umetulia;
ndiyo nini sana hii,

zamani ulikuwa analyst wa kiukweli lakini sasa naona you do not task your head.Think great you will get the truth. wanao ipenda chama ni vijana between 18 and 40. na wengi wao hasa walio na umri wa miaka 18,19 20,21,22,na 23 hawamo kwenye daftari la wapiga kura. HAWA WATAKAPO KUWA WAMEANDIKISHWA,NDIO UKWELI UTAUJUA. KAUNDI HILI WAWEZA KUFIKIA NUSU YA WAPIOGA KURA WOTE.
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.

kwanza eleza undani wa heading yako afu ndo uanze utumbo wako,kwani usipoisema cdm hupati posho ya leo?
 
hao cdm wakianguka wanajitakia wenyewe,unajua mchawi mpe mwanao amlee so cdm wanatakiwa wampe mkigoma mkiti tuone chama kitapaa au kitazama
 
Mtoa mada kwanza nikupongeze kwa mada ila umekuja na kauli yenye hitimisho (conclusion) hapohapo ndani unauliza maswali.ujibiwe lipi wakati heading umeweka conclusion? Chagua heading nzuri inayoruhusu mjadala.rudi kajipange vinginevyo habar yako ni illusion nakushaur kapate hata ka certificate ka uandishi wa habar.nakutakia cku njema mtani wa chadema.

kama unaona haijaenda sawa mada yake tuoneshe wewe mada iliyonyooka
 
Mazingira yalikuwaje? Mbona chopa zilikuwepo kulinda kura, makamanda kibao kutoka A town, na palikuwa na msemo bora kabisakabisa usemao,"piga kura linda kura," Haya sasa, mazingira gani mabaya! Na mlibishana na RPC kuhusu chopa na mwisho mkaruhusiwa kuzunguka nalo kukagua vituo vya kupigia kura! Sasa ulitaka mazingira gani? Au watu wote wajaze kura kwa Tendegu kwa nguvu??! Akili za kibavicha bana!

mfano kuna madai bayana kabisa daftari la wapiga kura lilirekebishwa siku tatu kabla ya uchaguzi kwann, maboresho hayo yalifanywa na tume ya uchaguzi kimya kimya, walikuwa wanaficha nini maana si ingewekwa hadharani watu wajiandikishe.

kuna watu walikuwa na shahada zimechanika au majina yao yalikuwepo katika daftari la wapiga kura ila hawakuwa na kitambulisho kutokana na kupoteza au kuibiwa, kisheria wanatakiwa wasaidiwe wajaze fomu maalumu na waruhusiwe kupiga kura, kwann walizuiwa kujaza fomu hiyo na kupiga kura,

moja ya chama cha siasa kilikuwa na majina ya watu ambao watakipigia kura je walijuaje kuwa watawapigia kura hata kama ni wanachama wao,kwani mwanachma wa cdm au ccm au cuf wanalazimika kuvipigia kura vyama vyao, kura ni siri ya mtu na ana haki na hiyari ya kumpigia mtu ambaye hata kama sio wa chama chake,

kulikuwa na madai ya vipigo, utekaji, unyanyasaji na vitisho hivyo navyo unasemaje?

mm sio mwana siasa ila napenda kuchangia mada zenye nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu. kama huna data fanya utafiti upate ukweli halafu utujuze yaliyotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi. vinginevyo utadharauliwa na kuhesabiwa si kitu hata mbele za Mungu maana wala rushwa, wachawi, wazinzi, watukanaji, wafiraji, walawiti, waabudu sanamu, waongo wote na wenye dhambi hawataurithi uzima wa milele bali sehemu yao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti ufunuo 21.8, mathayo 1.21, kumbukumbu 10.17, mathayo 25.41

ukifanya utafiti utatusaidia kupata ukweli watu ambao hatukufika huko ikiwa ni pamoja na kujibu hoja zote bila kumung'unya maneno utakuwa mzalendo na mpenda maendeleo. kama kweli umelipwa buku 7 au kiwango chochote cha fedha kwa kuleta uzi ambao haujakamilika unadhalilisha vijana/watu wa rika lako. nchi inaweza kuendelea na kujengwa na mtu mmoja mwenye hekima ikaliwa na majambazi elfu nyingi. kajipange huenda watu watakuelewa
 
Hicho chenye nyekundu ndo mngekipigania, hiyo ya kusema limerekebishwa siku tabu kabla ya uchaguzi unataka kusema maboresho yalifanyika kwa lile eneo husika tu?

Hata hivyo mchango wako una malalamiko kibao naweza kusema kuwa acha gubu mwanaume.

mfano kuna madai bayana kabisa daftari la wapiga kura lilirekebishwa siku tatu kabla ya uchaguzi kwann, maboresho hayo yalifanywa na tume ya uchaguzi kimya kimya, walikuwa wanaficha nini maana si ingewekwa hadharani watu wajiandikishe.

kuna watu walikuwa na shahada zimechanika au majina yao yalikuwepo katika daftari la wapiga kura ila hawakuwa na kitambulisho kutokana na kupoteza au kuibiwa, kisheria wanatakiwa wasaidiwe wajaze fomu maalumu na waruhusiwe kupiga kura, kwann walizuiwa kujaza fomu hiyo na kupiga kura,

moja ya chama cha siasa kilikuwa na majina ya watu ambao watakipigia kura je walijuaje kuwa watawapigia kura hata kama ni wanachama wao,kwani mwanachma wa cdm au ccm au cuf wanalazimika kuvipigia kura vyama vyao, kura ni siri ya mtu na ana haki na hiyari ya kumpigia mtu ambaye hata kama sio wa chama chake,

kulikuwa na madai ya vipigo, utekaji, unyanyasaji na vitisho hivyo navyo unasemaje?

mm sio mwana siasa ila napenda kuchangia mada zenye nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu. kama huna data fanya utafiti upate ukweli halafu utujuze yaliyotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi. vinginevyo utadharauliwa na kuhesabiwa si kitu hata mbele za Mungu maana wala rushwa, wachawi, wazinzi, watukanaji, wafiraji, walawiti, waabudu sanamu, waongo wote na wenye dhambi hawataurithi uzima wa milele bali sehemu yao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti ufunuo 21.8, mathayo 1.21, kumbukumbu 10.17, mathayo 25.41

ukifanya utafiti utatusaidia kupata ukweli watu ambao hatukufika huko ikiwa ni pamoja na kujibu hoja zote bila kumung'unya maneno utakuwa mzalendo na mpenda maendeleo. kama kweli umelipwa buku 7 au kiwango chochote cha fedha kwa kuleta uzi ambao haujakamilika unadhalilisha vijana/watu wa rika lako. nchi inaweza kuendelea na kujengwa na mtu mmoja mwenye hekima ikaliwa na majambazi elfu nyingi. kajipange huenda watu watakuelewa
 
Back
Top Bottom