Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,614
- 64,462
Amina !!!!!!!
Rip chagadema
Rip chagadema
Hii ni simple research niliyo ifanya lakini ina mashiko sana kubali au kataa lakini ndio ukweli,
Ni hivi chadema ni chama cha siasa kilicho ibuka na kujipatia wanachama wengi kwa muda mfupi sana kiasi kwamba chama kinashindwa kuwa control wanachama wake kutokana na kukosa misingi imara ya kiuongozi kuanzia ngazi za matawi,kata,majimbo mpaka taifani.hapa nina maana kwamba chama hakiku jiandaa kiuongozi kukabiliana na wingi wa wanachama walio jipatia that is why kila mtu ndani ya chama ana sauti au kwa lugha nyingine kila mtu ndani ya chama ni mbabe.
Kwa maana hii ndio maana inakua kazi rahisi sana kwa ccm kupenya ndani ya cdm na kuwarubuni baadhi ya viongozi wa chama ktk ngazi zote na hatimae hata zinapo fanyika chaguzi utakuta ccm wanashinda kiurahisi sana kwenye maeneo mengi ya mijini na vijijini.
My take:chama kichukue muda wa kuji imarisha kiuongozi kwenye ngazi zote na kujengaNIDHAMU YA KIUONGOZIkwa wanachama wote kwa ujumla,ili kuepusha hii kitu ya kila mmoja kutaka kuwa na sauti chamani.la sivyo tutaendelea kuvuana uanachama kila uchwao na tutabakia kuwa wapinzani milele.
Mungu ibariki chadema.
Shida nyingine ni kuwa chama ni mali ya familia wanachama na baadhi ya viongozi hawana sauti.
Shida nyingine ni kuwa chama ni mali ya familia wanachama na baadhi ya viongozi hawana sauti.
Kila kitu hatua kwa hatua.Kila kitu kipo strategically
haya kuhusu wewe ya cdm tuachie wenyewe.
Kila kitu hatua kwa hatua.Kila kitu kipo strategically