Anguko la CHADEMA lipo njiani

Haitawezekana kuwa na chama imara cha upinzani wala demokrasia ya kweli nchini Tanzania bila CCM kufa kwanza.Hata wewe uliyeandika haya na sijui kwa faida ya nani unajua misukosuko iliyoipata CAF,NCCR na sasa Chadema-Walalahoi wengine hatujui ni kwann mnawapa misukosuko mingi wale wanaonekana kuungwa mkono na watanzania walala hoi.
 

umeuliza maswali yako kishabiki au kinafiki, angalia safu ya uongozi ya ccm ni dini gani? pia cuf? kama hicho ndio kigezo kwanini navyo visiwe vya kidini? tafakari! kushinda au kushindwa uchaguzi kwa vyama vya siasa ndio siasa yenyewe.
 
maoni ya watanzania ni maoni ya mungu hayawezi kubezwa na kikundi chochote kile,ongera jaji Walioba utakumbukwa na vizazi vingi vya taifa hili dhidi ya wanafiki wanaoshindana na ukweli.
 
Hongera sana mama kwa kupata nafasi ya kusomeshwa na ccm na hatimaye kupatiwa kazi nzuri.Siku hizi mambo yamebadilika sana.Miaka yetu ahadi moja ya mwana Tanu ilikuwa ni mtu kujielimisha kwa kadri ya uwezo wake na kutumia elifu yake kwa faida ya wote.Leo hii Wewe umesomeshwa na ccm unakula bata,unapata first class social services na unawaaminisha wanajamii forum kuwa wanawake wote wa Tanzania Mpo ccm,ccm imewafanyia mengi,imewasomesha na kuwapa kazi nzuri ikiwa na maana kuwa wale wanaolala watatu watatu kwenye kitanda kimoja au kugalagala chini pale wodi za uzazi either ni wanaume au ni wanawake wa nchi jirani.hongera mama-keep it up
 

Naaaaammm???!!
 
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.

Ukiona adui yako anakuwinda kila wakati ujuwe wewe ni tishio.msijidanganye sana kama Chadema kinaanguka huwenda ndio kinataka kwenda kuwa na nguvu zaidi .mliwahujumu sana lakini watarecover soon!
 
Subiri mwakani kwenye uchaguzi mkuu tuwapige 3-0 ndio mtaelewa nini maana ya Peoples power.
 
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.

Demokrasia imara ni pamoja na kuwa na vyama imara katika kushindania ridhaa ya kuongoza Nchi. Na hapo wanaofaidika ni wananchi. Ila sisi watanzania na ulofa wetu kwa kuangalia maslahi binafsi,kila siku ni upuuzi wa kutabiri ohh CCM itakufa, ohh CDM itakufa...Ebo kwanini vife...badala ya kutaka vikomae zaidi..
 
ukilala na kuamka...Sindelusis Wariobalisis, Sindiism Wariobacts itakuwa imeshuka kichwani....
 
viongozi wa chadema wamejisahau kabisa. kufukuzana ndio kwingi.mbona magamba hayafukuzani? yenyewe yanawekana sawa tu.
chadema kila kitu mnakiweka wazi. badala ya kukaa na kukijadili kimya kimya ndani ya chama.mnakitoa nje mnaanza kupayuka ndio matokeo yake. nimehamini maneno ya Baba wa taifa bado yanafanya kazi. zambi ya ubaguzi ni mbaya sana mkisha wabagua wenzenu zambi hii itaendelea kuwatafuna.
ndio zambi inayowatafuna chadema.
hasa viongozi wamelewa madaraka. wamejifanya wakubwa. haya sasa yako wapi?
kila uchaguzi wanaangukia pua. hii yote imetokana na zambi ya ubaguzi. wamejio(na wao
 
viongozi chadema umefika wakati wa kujilekebisha kuehelekea uchaguzi mkuu. la sivyo tutaendelea kupolomoka.
 
Haya matamko yenu humu ni mengi sana, alianza Wasira akasema, CHADEMA mwisho 2013, tuko 2014. Kila mtu akikurupuka anguko la CHADEMA. Haya matamko yenu yanazidi kuimarisha chama sana. Mkitaka hiki chama kifutike, timizeni ahadi mlizowapa wananchi. Eti Kigoma itakuwa kama Dubai??? Watanzania wa leo siyo wa mwaka 47, eti zidumu fikra sahihi sijui za nani!!!
 

Ww jamaa una hoja mfu. Acha hasira pokea ukweli. Chagadema chali.
 
Hahahahaaaa.. vipofu bwana, eti uchambuzi murua.. Hii kweli mahaba nitese. Mtasubiri sana hilo anguko na badala yake mtajikuta mnaanguka nyie.

Kuanguka ss una maana gani? Chagadema ni mfa maji tu.
 
Tuko bize na bunge la katiba, nchi inayumba wewe unaongea ujinga tu, pole mtanzania pori.
 
CHADEMA haitaanguka kamwe ni tofauti na vyama vingine vilivyoibuka enzi za nyuma.Misingi tuliyonayo ni thabiti ndo maana wasaliti wanajitoa.Hata ww utakuja umia endapo ikitokea kikaanguka.MUNGU TUSAIDIE.

Mungu hasaidii matapeli. Poleni sana chagadema.
 
Huyo k,,, nge anawo uwezo wa kukagua chopa?? Anafahamu nini kuhusu chopper zaidi ya kupanda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…